Mkuu wangu mbona wajijibu hapa?... huwezi kuweka sheria ikwa huamini ni kosa hivyo imani ya kuwepo kosa inatangulisa sheria. Na Azimio la Arusha ni ufunuo blueprint ya yale tuyatakayo iwe Haki na uhuru wa mwananchi na hivyo kujizua haramu zote kisha unatunga sheria kulinda yale mlokusudia hata iwe Liberty..
Hivyo Azimio la Arusha ni blueprint ya kutoharamisha kiongozi kuwa mfanyabiashara na wala sii vibaya kiongozi kununnua hisa lktk shirika lakini sii kiongozi kuwa sehemu ya shirika maana fahamu kwamba unaweza kununua hisa za mashirika ktk wallstreet, tofauti na kuanzisha biashara ukawekeza hisa zako iwe asilimia 50 au hata 10. Hawa majambazi wetu wanaanzisha biashara kwa mikataba kukubaliana na mashirika ya nje wapewe hisa ili kutuibia rasilimali zetu, yaani wao wenyewe wanakuwa wadau wakubwa wa shirika hilo ambalo lengo lao sii kuleta utajiri nchini bali kujitajirisha wao kwa kutuibia tofauti na kina Bush, Brian Moroney japokuwa ni walimiliki wakubwa wa Barrick lakini wanaibia mataifa ya nje na kupeleka utajiri kwao. Kwa hiyo utaona hata sheria zao zinatazama zaidi kuibiwa ndani lakini hawajali kuiba nje hata kidogo wakati sisi ni ruksa kuiba ndani na hata familia yako maadam hujakamatwa.
Azimio la Zanzibar lipo na ndilo linapingana na utunzi wowote wa sheria dhidi ya viongozi kufanya biashara, na ifamamike tu kwamba wenzetu wabunge sio viongozi wa serikali, baraza la mawaziri la Marekani huchaguliwa na rais ukichaguliwa unaondoka bungeni kama alivyoachia Mama Clinton lakini wabunge wanaruhusiwa kufanya biashara maana hawa sii watendaji wa serikali hata za states. Ndio maana utakuta Governors ni tishio kubwa sana ktk chaguzi za urais kwa sababu hawa walikuwa viongozi wa states na hawakujihusisha na biashara kama kina Romney. Na Romney akipita uchaguzi na kuwa rais inabidi aachie mali zake maana wanaijua haramu kwanza kabla ya sheria kutungwa.
Bila shaka kwa sababu Leadership huhitaji kuwa master of Economics and Finance na mfano mzuri ni PM wa Canada - Paul Martin ambaye alikuwa mchumi mzuri sana alipokuwa minister wa finance, lakini alishindwa kuiongoza nchi hata kwa awamu moja tu uchumi wake ukiporomoka. Hivyo haina maana Mtei au Lipumba kuwa mabingwa wa Uchumi wataweza kuiongoza nchi vizuri - sii kweli.
Tatizo nadhani pro-Azimio wanajaribu kuchanganya itikadi kama mwongozo wa kutunga sera (which is the case) na itikadi kama mwongozo wa kutunga sheria (which is not appropriate in our times). The former is practical but then not through a failed declaration such as 'the Arusha Declaration' blueprint, and the later is not accepted in today's world kwa sababu hizo hizo za mifano yao ya dini walioileta.Of course the current government and everybody in a good position is molesting the country. However, there's a surprising fact. The majority in the government grew up reciting Azimio la Arusha, like an altar boy gone bad.
It' actually based on Hammourabi's code and Magna Carta/ Napoleonic laws.Tatizo nadhani pro-Azimio wanajaribu kuchanganya itikadi kama mwongozo wa kutunga sera (which is the case) na itikadi kama mwongozo wa kutunga sheria (which is not appropriate in our times). The former is practical but then not through a failed declaration such as 'the Arusha Declaration' blueprint, and the later is not accepted in today's world kwa sababu hizo hizo za mifano yao ya dini walioileta.
Mfano the West until a century a go most of the laws were a result of Christianity doctrine, and most of those laws were centered around morals. People have come to understand morals evolve, what was unaccepted in the early 20's might no longer carry the same reasoning lines in the future. Therefore the emphasis of making new laws shifted from doctrines to understanding (rationale approach).
Na pale bado kunako tumia doctrines (especially religion) ndipo kwenye conflict nyingi, kwa hivyo si kweli kwamba mzungu ana haribu huko middle east kila kitu. Ndio anatumia upenyo uliopo kati ya wale wanaotaka secular state na wale wanaotaka muongozo wa dini to advance his economical goals (but then dini si kila mtu anaamini kila kitu these days) therefore it wrong to assume the west is intervening in their ways of lives.
Tukirudi kwenye ma-azimio haya hayana tofauti kubwa na dini (except these are political doctrines), kwa maana hiyo kusema eti tutunge sheria kupitia maazimio ni yale yale tu, kwa mfano kwenye hii thread pekee kuna makundi mawili pro and anti Azimio, kuweka sheria za nchi kupitia Azimio tayari umeshawachagulia wengine namna ya kuongozwa ki maisha kupitia Azimio Uchwara.
Hitimisho la Mjadala ..?
If that is the case what was the bases of King Henry departure from Catholism to Church of England? what are the bases of abortion laws and many moral issues today in the west and also why many of these morals laws are being challenged in human rights courts?It' actually based on Hammourabi's code and Magna Carta/ Napoleonic laws.
Christianity has its base or it's grounded on "The Eucarist"
Constitrutional legitimacy is grounded on the foundation of the concept of the "Rule of Law"
And the rule of law can either be a "Process" or "Substantive"
Sasa kutokana na hayo, ndiyo unaweza labda kuniambia kwanini itikadi isiwe kama mwongozo wa kutunga sheria. Ninaamini kuwa itikadi (like in China) inaweza kuwa ni mwongozo wa kutunga sheria. Not neccessarily Morals au Norms au Moral norms.
Unofficially nitatumia nafasi kuelezea sababu za kushindwa kwa Azimio la Arusha.
1./ Tanzania ni jamuhuri. Na Jamuhuri inaongozwa na vitu viwili muhimu. Katiba na sheria za nchi. Hii ni mikataba kati ya wananchi na serikali yao. Azimio la Arusha ni document iliyotumbukizwa lakini haina uhalali wowote wa kisheria. Halmashauri ya TANU iliyopitisha Azimio hili iliwakilisha chama cha kisiasa cha TANU ambao walichaguliwa na wanachama wenye kadi za TANU. Document ya Taifa ni lazima ipitishwe na bunge ambalo limechaguliwa na wananchi wenye sifa za kupiga kura.
Tukumbuke pia kuwa wakati Azimio hili linapita, idadi ya wanachama wa TANU ilikuwa ndogo kuliko idadi ya watanzania. Na hata sasa idadi ya wanachama wa vyama vya siasa ni ndogo kuliko ya watanzania. Hivyo wanasiasa ni lazima wakumbuke kuwa taifa ni kubwa kuliko imani ya vyama vyao.
2./ Pili kurudishwa kwa mfumo wa vyama vingi, kuanza kurudisha katiba na sheria kwa wananchi. Katiba ya nchi na sheria za nchi hazikatazi mtanzania kuvunja baadhi ya kanuni muhimu ya Azimio la Arusha. Kwa mfano mtanzania anaweza kuwa mkurugenzi wa kampuni binafsi na akagombea ubunge kwa kupitia chama chochote cha siasa kisicho na kanuni za Azimio la Arusha.
Hivyo demise ya Azimio la Arusha haitokani na Azimio la Zanzibar. Inatokana na kuwa waliotunga Azimio la Arusha walitegemea chama kushika utamu daima na kusahau kulifanya Azimio hilo sheria ya nchi au extension ya katiba.
3./ Azimio halina walinzi. Nchi kama Iran au North Korea zinye kufuata itikadi zao zina watu walio tayari kutoa damu kulazimisha wengine au kulinda. Watu wengi ambao walisaidiwa na Azimio hili, ndio wao wa kwanza kuli-molest. Huwezi kujenga itikadi ukiwa huna wafuasi.
4./ Kila binadamu ana matamanio yake na hiyo ni haki aliyopewa na muumba wake. Azimio la Arusha linakiuka msingi huu na kufikiri kuwa serikali inaweza au mafundisho ya itikadi ya chama yanaweza kuwafanya binadamu wafikiri sawa sawa. Kilichotakiwa kuwaachia wananchi watimize matamanio yao mazuri bila kuvunja sheria.
5./ Utekelezaji wa mambo mengine ya azimio la Arusha ulikuwa advance kwa watanzania hata kwa mwandisi mkuu wa Azimio hilo. Kama kulikuwa na watanzania 12 wenye elimu ya juu wakati tunapata uhuru, nina uhakika namba haikuwa nzuri miaka ya 70 kusema kuwa tuendeshe viwanda vyetu au mabenki yetu. Kufanya hivyo ilikuwa ni kukataa education na kutumia ignorance.
6./Azimio liliongeza regulations ambazo zinazuia innovation and creativity.
7./ Leadership that bring results is an art form. You have it or you don't, and you don't need Azimio la Arusha to make things better.
Cau
Z10
Mkuu wangu naona mimi nawewe hatutaweza kuelewana. Hakuna mahala nimesema Azimio la Arusha na Zanzibar sio zao la CCM lakini unachoshindwa kuelewa ni CCM hyo hiyo inayoongoza nchi hii kwa miaka yote, ni CCM hii ndio iliyotunga Katiba na Sheria zilizopo sasa sielewi tunabishana ju ya kitu gani. Ujio wa vyama vingi haukubalisha sheria yoyote inayohusu WATU zaidi ya demokrasia ya chaguzi lakini mamlaka ni yale yale, isipokuwa kuna tofauti kubwa kati ya wakati wa Azimio a Arusha na Azimio la Zanzibar.Mkandara,
Hivi una matatizo gani ya kutoelewa. Azimio la Arusha lilipitishwa na Halmashauri kuu ya TANU. Azimio la Zanzibar lilipitiswa na Halmashauri ya CCM. Maazimio yote haya ni mali ya Chama cha Mapinduzi. Ni wanachama wa Chama hicho wenye kuhamua jinsi ya kuyafuata na sio Taifa.
Hata sherehe za kuzaliwa kwa CCM na kutangazwa kwa Azimio la Arusha sio sherehe za kitaifa. Hivyo unachotakiwa kutambua ni kuwa ujio wa vyama vingi ulifuta baadhi ya mambo kuwa ya kitaifa. Mojawapo ya hayo mambo ni hayo maazimio.
Mkuu wangu naona mimi nawewe hatutaweza kuelewana. Hakuna mahala nimesema Azimio la Arusha na Zanzibar sio zao la CCM lakini unachoshindwa kuelewa ni CCM hyo hiyo inayoongoza nchi hii kwa miaka yote, ni CCM hii ndio iliyotunga Katiba na Sheria zilizopo sasa sielewi tunabishana ju ya kitu gani. Ujio wa vyama vingi haukubalisha sheria yoyote inayohusu WATU zaidi ya demokrasia ya chaguzi lakini mamlaka ni yale yale, isipokuwa kuna tofauti kubwa kati ya wakati wa Azimio a Arusha na Azimio la Zanzibar.
Jamani hizi sheria na Katiba hata Hitler alikuwanazo ambazo ukizisoma hutaona makosa ila utawala bora, maana Hitler mwenyewe alitangaza AMANI (peace) ktk kila speach zake, sheria na mkazo mkubwa wa uwajibikaji na naweza kusema hakuna kiongozi aliyewahi kupendwa na wananchi wake hapa duniani kama Hitler - Hakuna!. Lakini unapotazama Azimio lake, walitaka kujenga Ujarumani ipi, ile kutaka kuitawala Ulaya kama Napoleon, Kuudhihirishia ulimwengu kwamba wao ndi Taifa bora kuliko yote, superdupa, kuutaka Ushujaa na kisasi cha kupambana na Wayahudi kwa imani kwamba ndio waliomuua Yesu...Hapa ndipo tunapo kwazwa na Azimio hilo na kuwaona ukoma.
Mtazame Ghadaffi yeye, pia alikuwa Azimio la kitaifa la Ujamaa pia ambalo walilipenda wote, katiba na sheria zikatungwa akitangaza demokrasia ya aina yake, akiwapa wananchi wake kila kitu toka Elimu hadi welfare kila mwezi hata kama huna kazi, lakini sii kitu walichokitaka wananchi kwa sababu alikuwa na nia ya kuitawala Libya hadi kifo kitakapo mkuta na pengine kuwarithisha wanawe, kumbe ndio ikawa sababu ya mwisho wake. Maazimio haya ndio yaliyowaangusha Watawala hawa tofauti na CCM ambao hadi leo hii wametawala kupitia maazimio mawili kwa nyakati mbili tofauti.
Hivyo mkuu wangu nakubaliana nayi sana mnaposema Azimio la Arusha halikuwa zuri na mkazieleza athari zake lakini na ubishi ukabakia ktk uzuri au ubaya lakini sii kusema Utawala wowote hautakiwi kuwa na Azimio ama wananchi kujua umuhimu wa Azimio maana hapa tunatawaliwa na Azimio la Zanzibar na wewe kama mtanzania lazima ufahamu CCM walitaka kulijenga Taifa la aina gani na haya madudu yote ya Ufisadi ni mavuno ya Azimio hilo.
Pili, Nachokataa mimi ktk mjadala huu ni wazo la kwamba ni Azimio la Arusha lililotufikisha hapa, tunachosema sisi haya sii kweli kabisa kwa sababu Azimio hilo tuliliacha na halipo tena na mnasema halifai hata kuwepo isipokuwa tunatakiwa kufuata sheria tu, sasa tunachoshangaa iweje kitu ambacho hakina mumuhimu kiwe ndio sababu ya kutufikisha hapa tuipo hata baada ya miaka 20 tulipokiacha?.
Je, Azimio ni muhimu au sio muhimu?. Kama sio muhimu kwa nini mnalilaumu Azimio la Arusha kuwa sababu, kama ni Muhimu je Azimio letu leo hii ni lipi?.. haya ndio maswali nilokuwa nayo toka mwanzo sema tunapigana chenga tu...Hadi leo tunatawaliwa na Azimio la Zanzibar ambalo wewe kwa fikra zako unasema halipo wakati unakubaliana na maamuzi yote ya Azimio la Zanzibar ambayo yanafanya kazi hadi leo chini ya katiba na sheria mpya ambazo zimeondoa miiko na maadili kwa viongozi wetu. Halafu vichekesho mnamtaka JK awawajibishe mawaziri na viongozi wanaohujumu Uchumi kwa sheria, sheria gani ikiwa sheria zilizopo zimetungwa kutokana na Azimio?. Kuhujumu Uchumi sii lazima iwe makosa ya jinai ndio maana ya Fisadi huyu kwa ufasaha huitwa Mharibifu, iwe hata sawa na ng'ombe aloingia shambani kwako akala mahindi huyu huwezi kumhukumu kwa kutazama njaa yake ama sheria za mwizi ila hufungwa kamba shingoni.
mkuu
kiongozi bora ni yule anayeshirikisha watu wake katika kufanya maamuzi(participatory leadership)lakini endapo watu hao umewazidi sana elimu amahawana kabisa uelewa juu ya mambo mbalimbali kiongozi hutakiwa kudectate kutoaorder na watu kufuata kwa sababu utawashirikisha utajadiliana nao nini amawatakusumbua ama hamtafikia muafaka wa kile unachotaka kifikiwe ila jambo hiloliwe kwa manufaa ya hao unaowaongoza.
mwalimu alikuwa na wakati mgumu sana kwani asilimia kuwa ya watu wakati huohawakuwa na elimu na hawakuelewa yaliyokuwa yanaendelea na namna ganiwatajikwamua ilibidi mwalimu kutumia hiyo hali unayoona ya kidikteta and he wasright.
ni kama una mtoto ambaye inabidi umfanyie maamuzi ili kumsaidia kufanikiwakwake.
lakini sina hakika kabisa kuwa mwalimu hakushirikisha watu wake.
nakubaliana na wewe kabisa kuwa leadership is an art napenda kukuhakikishiakuwa mwalimu kuja na azimio la arusha was an art in his leadeship. kwa sababuile namna unayotawala zile mbinu unazofanya zile strategies unazotumia ni art.mchunguze mwalimu then angalia viongozi wa sasa nani kaja na chochote kipyaamebaki mwalimu pekeyake kuwa kiongozi wa pekee aliyekuja na kitu cha kufanywakwa maendeleo ya taifa. iwe imefeli au kufaulu ilikuwa ni creativity ya ainayake. na kwangu ilifanikiwa kwa baadhi ya mambo na ninamsifu kwa hayo.
HODI WANAJAMVI! Ni mwanaafrika mwenzenu, ni tayari kujifunza na kuishi maarifa mapya kutoka kwenu, naomba mnipokee!
Nirudi kwenye mada...
Naamini kuwa maisha ya mwanadamu hutegemea sana mambo mawili,
1. MAZINGIRA, yaani anaishi wapi na nani.
2. NYAKATI, anaishije, yaani mahusihano baina ya mtu na mtu na mazingira yao (tamaduni, itikadi, imani, mitazamo, mifumo, taratibu, falsafa, nk.).
Katika hili, napenda kujitambua kwamba sisi ni waafrika, wenye mazingira mahususi kwetu, yafahayo kuongoza mahusiano yetu kati ya mtu na mtu, na mazingira yenyewe! Mambo hayo ndiyo yaongozayo wajibu wa mtu kwa jamii yake! Upi ni wajibu wa mwanaafrika?
Mungu alipotuumba, alituumba na kutuwekea msingi mkuu wa maisha nafsini mwetu, UTU! Mantiki ya UTU i nafsini mwake mtu, kutoiishi ni kujisaliti na kujinafiki, ni kujikataa. MANTIKI hii imo kwa kila mtu, haibadiliki, kumbe kila mtu angeiishi maisha yangekuwa ni furaha, kwasababu ya MANTIKI ya UTU ndaniye. HAKIKA, kwangu "MAISHA NI FURAHA, KAMA HAIPO NI UPUUZI TUPU". Na hakuna furaha ya MTU ila WATU! Nitatoa mifano miwili midogo...
"...fikiria furaha ya simba mawindoni amuonapo mwanaswala mnono, mate humtoka na mkia kutotulia....furaha yake ni juu ya mnofu wa swala "
Fikiria tena hili "...mtu mwenye kufurahia mali zake na familia yake ndani mwao "ni shangwe na kumshukuru Mungu kwa kumjalia", hali jirani kuna yule aliyekosa uji siku mbili, nondo mkononi anavunja geti kumjeruhi mwenye mali, walau apate hata kile kidondokacho mezani mwa mwenye mali" je hakuvuruga furaha huyo, utafurahije kuwa na 3 kwa mwenye 0? Furaha ya simba na tajiri zimekosa MANTIKI, yaani UWIANO SAWA. Simba ni unyama alioumbwa nao, lakini mwanadamu ni kwa kupindishiwa MANTIKI , kulikofanywa na nyakati alizonazo. Kumbe wajibu wetu ni kuuishi UTU kama waafrika, japo umepindishwa nafsini mwa watu, tunaweza kuuimarisha kwa kutumia mfumo ulioundwa kwa MANTIKI ya nyakati na mazingira yetu.
Azimio Jipya, saluti...
Wanajamvi mnastahili kwa kweli.
Mungu wetu anaita!
There's no private ownership of land in Tanzania. And the president is the trustee.Jinga La Falsafa and Azimio la Arusha,
Tanzania is a signatory of universal Declaration of human rights which includes almost everything you have started above. In addition, some amendments were made in order to accommodate human rights in our constitution. If I am not mistaken that was 1984.
So the main problem isn't to declare or define what human rights are, but to put them into practice. Take for example the issue of ownership. The constitution clearly indicates that we have the right to own properties. However, in practice, government officials can easily take pieces of land from poor people.
mkuu
kiongozi bora ni yule anayeshirikisha watu wake katika kufanya maamuzi(participatory leadership)lakini endapo watu hao umewazidi sana elimu amahawana kabisa uelewa juu ya mambo mbalimbali kiongozi hutakiwa kudectate kutoaorder na watu kufuata kwa sababu utawashirikisha utajadiliana nao nini amawatakusumbua ama hamtafikia muafaka wa kile unachotaka kifikiwe ila jambo hiloliwe kwa manufaa ya hao unaowaongoza.
mwalimu alikuwa na wakati mgumu sana kwani asilimia kuwa ya watu wakati huohawakuwa na elimu na hawakuelewa yaliyokuwa yanaendelea na namna ganiwatajikwamua ilibidi mwalimu kutumia hiyo hali unayoona ya kidikteta and he wasright.
ni kama una mtoto ambaye inabidi umfanyie maamuzi ili kumsaidia kufanikiwakwake.
lakini sina hakika kabisa kuwa mwalimu hakushirikisha watu wake.
nakubaliana na wewe kabisa kuwa leadership is an art napenda kukuhakikishiakuwa mwalimu kuja na azimio la arusha was an art in his leadeship. kwa sababuile namna unayotawala zile mbinu unazofanya zile strategies unazotumia ni art.mchunguze mwalimu then angalia viongozi wa sasa nani kaja na chochote kipyaamebaki mwalimu pekeyake kuwa kiongozi wa pekee aliyekuja na kitu cha kufanywakwa maendeleo ya taifa. iwe imefeli au kufaulu ilikuwa ni creativity ya ainayake. na kwangu ilifanikiwa kwa baadhi ya mambo na ninamsifu kwa hayo.
If that is the case what was the bases of King Henry departure from Catholism to Church of England? what are the bases of abortion laws and many moral issues today in the west and also why many of these morals laws are being challenged in human rights courts?
The Magna carta introduced new ways of thinking outside the church and monarchy ideas which were dominant of the time lakini hayo mambo yako mengine ya 'Hammourabis code' sijui umeyatolea wapi and how they fit in modern political discussions.
Becuause the 'rule of the law' in modern times is based on democratic ideas. The values of democracy are freedom of choice (ndio maana hata nchi nyingi duniani zinashinikizwa kuwa na vyama vingi) to name a few, sasa kama utaweka ideologies za chama na kuzifanya sheria ya nchi tayari umeshavunja misingi ya democracy na mbele your bound to violate human rights acts, kawaulize huko 'North Korea' imefikia hatua through propaganda kuna watu wana amini Kim Jong alikuwa kama mungu, lakini hivi si ndio kama tanzania baadhi wanavyoamini kuhusu Mwalimu coming to think of it wengi ni ndio washabiki wa azimio today.
U chose to ignore! it's all gud...Mkandara,
The fact that you have mentioned Hitler and Ghadafi in this post tells a lot why you need Azimio la Arusha. You want a dictator who shouts from the mountain top.
My brother please. Land ownership is not a Universal human right, here in Canada we only hold land permit from the sovereign monarch. as to say Wananchi ni wapangaji tu. The land permit signify agreement between land owner and the crown, not between land owner rights to own the land. As to Tanzania, it's the government who owns the land we are just tenants.Jinga La Falsafa and Azimio la Arusha,
Tanzania is a signatory of universal Declaration of human rights which includes almost everything you have started above. In addition, some amendments were made in order to accommodate human rights in our constitution. If I am not mistaken that was 1984.
So the main problem isn't to declare or define what human rights are, but to put them into practice. Take for example the issue of ownership. The constitution clearly indicates that we have the right to own properties. However, in practice, government officials can easily take pieces of land from poor people.
Jinga La Falsafa and Azimio la Arusha,
Tanzania is a signatory of universal Declaration of human rights which includes almost everything you have started above. In addition, some amendments were made in order to accommodate human rights in our constitution. If I am not mistaken that was 1984.
So the main problem isn't to declare or define what human rights are, but to put them into practice. Take for example the issue of ownership. The constitution clearly indicates that we have the right to own properties. However, in practice, government officials can easily take pieces of land from poor people.
Mkuu Malecela, kama lengo lilikuwa ni kutafuta njia ya kuwanufaisha wengi lilikuwa ni jambo jema sana. Lakini kilichopo ni kwamba njia aliyokuja nayo imewadunusha wengi zaidi kuliko wakati za azimio la Arusha na kuwaneemesha wachache sana, na kuwa matajiri wa kupindukia na kuufanya utawala na uongozi wa nchi kama ufalme.
Ukiangalia sasa hivi naweza kusema kuna maafa makubwa zaidi kuliko ilivyokuwa wakati wa azimio la Arusha. Angalia afya, elimu, maji. Hovyo zaidi kuliko wakati wa azimio la Arusha.
Sina maana kuwa azimio la Arusha was 100% perfect, tunatakiwa kuchukua yale ya msingi na yale mabaya tuyaweke pembeni, na tusifute mazuri kama tulivyofanya kule Zanzibar na kuweka mengine ya ovyo. Mkuu, tataizo la Azimio la Zanzibar sio kuleta ubepari, bali ni kuondoa miiko ya uongozi na kuruhusu viongozi kuwa wezi, na kutowafanya accountablem
I disagree with you. It's not democracy to our liking. But you can't denie that pluralism is taking shape. The number of opposition MPs has increased, and CCM aren't sure that they will hold power forever.