Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

Jethro:

Kuna vitu vingine vinatakiwa kwenye moyo na sio lazima kuandikwa kwenye vitabu.

Wahehe walipokuwa wanapigana na wajerumani hawakujua kusoma wala kuandika. Hawakuwa na Azimio lolote la Arusha, lakini they knew what they were fighting for. You can't put a good fight, if you are unmotivated.

Those days of Mkwawa, Mirambo, Mputa, Rumanyika n.k they were definitely best leaders ever lived in the land of Tanzania, Yet they had no any so called Azimio

Kipimo pekee cha wabishi wanaotaka Azimio, ebu lianzisheni basi sio kupiga kelele tu humu!

Kutokuanzisha Azimio sasa ni kipimo pekee kuwa haliwezekaniki, people needs to think otherwise..

1,Badilisha Katiba
2.Ianzishwe serikali ya pamoja
3. Viongozi wawe accountable
4.Kuacha kulindana

thats all
 
Waberoya,

Mkuu wangu unaposema Wahehe hawakuwa na Azimio wakati hawakusoma mlitegemea kitu gani tofauti? Hivi ktk fikra zenu Wahehe wangeweza vipi kuandika Azimio lao wakati hawakuwa na elimu hiyo..Jamani msianze kuchekesha hapa.

Wahehe walikuwa na Azimio lao na sii lazima liandikwe mahala popote, kama vile sheria, ama hata Costitution walikuwa navyo pasipo maandishi na walifahamu utawala bora, haki za binadamu na amani pasipo UN..

Sasa mkinambia leo tuache kuandika sheria zetu, kwa sababu huoni umuhimu ikiwa Wahehe hawakuwa na maandishi hayo nitakueleweni..

Wakuu zangu, hakuna ubishi hapa ni kueleweshana tu..Sisi tunacholilia Azimio la Arusha ni kutokana na ufedhuli unaotokana na kutokuwepo mwongozo. Yesu alikuja na hata kuandikwa Biblia (mwongozo) ni kutokana na utovu wetu binadamu ktk ibada ya kumwabudu Mungu.. haijalishi kabisa kwamba wakati wa Yesu hawakuwa na Biblia ama ukimwambia mtu asome Biblia basi tunarudi karne ya tatu. na zaiodi ya hapo hakuna mtu anayetaka kujipima imani yake na Yesu, Moses wala Muhammad isipokuwa tunachokitazama hapa ni watu waliokuwa na mwongozo, leo hii Tanzania hatuna mwongozo, ni Taifa linalokwenda kwa kudra za Mungu kama tunavyosubiri mvua za masika. Sheria zinatungwa kufuata upepo na jua..

Mkuu wangu sisi tutaweza vipi kurudisha Azimio ikiwa watu muhimu kama nyie mnapinga pasipo sababu kama tulivyo wadanganyika. Nimekuwa maisha yangu yote sijawahi kuona Wadanganyika wote wakakubaliana kwa jambo lolote, hata kuandama kwa mwezi ni mashauri!
 
Zakumi,
Hakuna innovation yoyote ikiwa kitu hicho Hakihitajiiki..Kiuchumi ktk udogo wa mahitaji wanasema kama hakuna demand hakuna Supply hivyo Production inakatwa na innovation haihitajiki...Kwa nchi hizo zilizoendelea wanasema - west of time and money!
Neccessity is the mother of invention mkuu wangu hakuna hadithi nyingine na wamesema hao hao walioendelea.
 
Ukitaka kurudisha Azimio la Arusha ni lazima ufanye angalau kimoja katika yafuatayo:
1. Umrudishe JKN madarakani vyoyote utakavyoweza.
2. Fagio la chuma liwapitie wote walioko CCM au ukiue chama hicho

Ukiweza hayo Azimio la Arusha litawezekana kuzaliwa mara ya pili.

Leka
 
Lekanjobe Kubinika,

Mkuu Azimio la Arusha haliwezi kurudishwa kama Azimio la Arusha.. hii ndio taabu ya kuwaelezea watu wanaofuata cook book..Tunachosema sisi ni mawazo ya mwongozo yaliyomo ndani ya Azimio hilo yarudishwe ili kuondoa hilo la pili, la kwanza haliwezekani kwani Azimio sii Mungu aliyeweza kumrudishia Yesu uhai..
Tukiweza kurudisha miiko na maadili ya viongozi basi bila shaka litakuwa fagio la chuma.
 
Aisee mbona historia inawapiga chenga, mmesahau Azimio la Maji Maji lililotumiwa na Mwanapinduzi Kinjekitile Ngwale kuwaunganisha Watanzania dhidi ya Uvamizi wa Jerumani?

Hebu nendeni Kalenga muone jinsi Mtwa Mkwawa wa Uhehe alivyorithishwa Azimio la Uhuru na Babaye Mtwa Munyigumba baada ya mpambano na Wangoni - Azimio alilolitumia kuyashinda majeshi ya Emily Von Zelewisky pale Lugalo!
 
Lekanjobe Kubinika,
Mkuu Azimio la Arusha haliwezi kurudishwa kama Azimio la Arusha.. hii ndio taabu ya kuwaelezea watu wanaofuata cook book..Tunachosema sisi ni mawazo ya mwongozo yaliyomo ndani ya Azimio hilo yarudishwe ili kuondoa hilo la pili, la kwanza haliwezekani kwani Azimio sii Mungu aliyeweza kumrudishia Yesu uhai..
Tukiweza kurudisha miiko na maadili ya viongozi basi bila shaka litakuwa fagio la chuma.

Mkuu, nashukuru umenielewa. Hayo usemayo ndiyo hasa nilikuwa namaanisha.

Kama haiwezekani kufanya niliyoyashauri, basi maana yake Azimio hilo ni historia isiyowezekana kurudia makucha yake. Walioliua Azimio tena mbele ya baba yake bado wapo na wana nguvu ya kuamua nini kiwe hai na nini kife. Wakakitengenezea na sheria na kukibandika kwenye katiba ya nchi ili watese bila hofu ya kuguswa.

Ndio maan JKN alisema anarudia kila mara kuisoma Azimio haoni wapi pamekosewa, akasema zaidi kwamba kulisemea Azimio la Arusha unapaswa kuwa na akili kama ya mwenda wazimu. Maana alijua fika kwamba Azimio lake limeuwawa kwa makusudi kamili na kizazi kipya.

Labda kama Laizon na Bugaloo na viatu vya ghorofa zinavyoweza kuletwa na kizazi kipya wakidhani ni vazi la kisasa kumbe ni zilipendwa, pengine Mungu awapumbaze walilete tena wakidhani ni fikra mpya kwa kupitia mlango wa uani.

Asante kwa kunielewa.

Leka
 
Waberoya,
Mkuu wangu unaposema Wahehe hawakuwa na Azimio wakati hawakusoma mlitegemea kitu gani tofauti? Hivi ktk fikra zenu Wahehe wangeweza vipi kuandika Azimio lao wakati hawakuwa na elimu hiyo..Jamani msianze kuchekesha hapa.
Wahehe walikuwa na Azimio lao na sii lazima liandikwe mahala popote, kama vile sheria, ama hata Costitution walikuwa navyo pasipo maandishi na walifahamu utawala bora, haki za binadamu na amani pasipo UN..
Sasa mkinambia leo tuache kuandika sheria zetu, kwa sababu huoni umuhimu ikiwa Wahehe hawakuwa na maandishi hayo nitakueleweni..
Wakuu zangu, hakuna ubishi hapa ni kueleweshana tu..Sisi tunacholilia Azimio la Arusha ni kutokana na ufedhuli unaotokana na kutokuwepo mwongozo. Yesu alikuja na hata kuandikwa Biblia (mwongozo) ni kutokana na utovu wetu binadamu ktk ibada ya kumwabudu Mungu.. haijalishi kabisa kwamba wakati wa Yesu hawakuwa na Biblia ama ukimwambia mtu asome Biblia basi tunarudi karne ya tatu. na zaiodi ya hapo hakuna mtu anayetaka kujipima imani yake na Yesu, Moses wala Muhammad isipokuwa tunachokitazama hapa ni watu waliokuwa na mwongozo, leo hii Tanzania hatuna mwongozo, ni Taifa linalokwenda kwa kudra za Mungu kama tunavyosubiri mvua za masika. Sheria zinatungwa kufuata upepo na jua..
Mkuu wangu sisi tutaweza vipi kurudisha Azimio ikiwa watu muhimu kama nyie mnapinga pasipo sababu kama tulivyo wadanganyika. Nimekuwa maisha yangu yote sijawahi kuona Wadanganyika wote wakakubaliana kwa jambo lolote, hata kuandama kwa mwezi ni mashauri!


Mkuu umesema vyema wahehe hawakuwa na Azimio, kwa sababu hawakuwa wakijua kusoma, hivyo halikuandikwa.

Azimio la Arusha lilikufa yet liliandikwa na wasomi tena kwa lugha ya kigeni na ya hapa! Hivyo swala hapa si kusoma wala kuandikwa , SWALA NI KUWA WE HAVE TO BEHAVE FROM WITHIN!

Mkandara, culture yetu hairuhusu Azimio la Arusha, sisi watanzania tuna umimi, ujuaji, kutokujali wengine, kutokuangalia future, kuiga kila kitu, kutokujali mpaka vizazi vyetu, na walio na uchungu wa nchi hii pengine ni asilimia 1%

Inatakiwa ianze culture kwanza , culture ya kubeba hilo Azimio, huwezi kuweka Azimio la kinafikia na watu wakawa wafuataji wa kinafikia kama zilivyo dini zetu.

Maana ya culture hapa ni responsibility, hatuna tabia ya kuchukua hatua, tumejaa unafikia na kuoneana aibu.

Mkipitisha Azimio, mtawaambia TAKUKURU wawakamate mafisadi, yet TAKUKURU watakuwa wakwanza kuchagua nani akamatwe na nani asikamatwe!

Mkandara we have everything in our country, we have authorities, judicary system , military etc.Yet we are crying all over the country about ufisadi and the likes.

Ikiwa watu wana power akiwemo rais wako, power ya kufanya mabadiliko na kukamata mafisadi nchi hii, bado anaishi kama unavyomfahamu! HIVI AZIMIO LITAKUJA NA EXTERNAL FORCES? AZIMIO LITABADILISHA WATU, HOW? we have laws and constitution people are deliberately not comply with them!

Dira ya taifa ni sheria na katiba, zaidi ya hapo kitakachoongezeka kama hilo Azimio ni lazima wote muwe na moyo mmoja(maana hasa ya Azimio)!kitu ambacho kwa tabia ya watanzania hakipo kaka,

Watu wasipoweza kuazimia kwa moyo mmoja , kitakachowaongoza ni SHERIA NA KATIBA, thats all
 
Vijana wengi wa Tanzania wamepitia kwenye shule za kukaa chini, na kwa miaka zaidi ya 20 sasa haijafanya watanzania wavumbua madawati na vitu vingine vya kuwasaidia.

Ndio maana Sera ya Elimu ya Kujitegemea, kama Sera mwenza ya Sera ya Ujamaa na Kujitegemea ya Azimio la Arusha, inasisitiza kuwa shule zinatakiwa ziwe karakana na mashamba. Hiyo itawezesha wanafunzi wavumbue vitu kama hivyo. Kwa sasa wanafunzi wanaongoza kwa kufeli soma la Stadi za Kazi kwa kuwa hakuna sera inayojenga misingi ya kupenda kazi za mikono. Uhuru na Kazi pamoja na Uhuri ni Kazi vinaoenekana vimepitwa na wakati wakati wenzetu huko Uchina wao wanatekeleza Maazimio kama haya na wanatohoa uvumbuzi kila siku!
 
Nimesahau kuna mpakistan mmoja huwa ananitania, ikiwa leo first world countries wataweka ndege za bure aiport DSM na kusema wanaotaka kwenda Ulaya wapande ndege bure, for sure (wewe shahidi) kuwa watanzania watataka hata kusimama kwenye ndege ili waende ughaibuni!

Ikiwa una taifa la watu wasio na uzalendo, wanaowaza kujiendeleza kibinafsi, kwenda na kupotelea nje ya nchi, Ikiwa una taifa la watu waliochoka na nchi yao wenyewe! WAKIO TAYARI KUIBA MAFUTA YA TANESCO ili watu wakose umeme1

Taifa hili lina hitaji kwanza MOYO WA KIZALENDO, WATU WAPANDIKIZWE MOYO WA KIZALENDO, MOYO WA KULIPENDA TAIFA, ROHO NA MOYO WA KIZALENDO UKIINGIA, BASI TUTAWAZA NA KUTEKELEZA MAAZIMIO, HII NDIO ASSIGNMENT KUBWA ZA VIONGOZI WETU KULIKO CHOCHOTE KILE, taifa lisilo na wazalendo limekufa!

please let us be honesty, hilo azimio ili kureinforce maazimio lazima sheria zinatumika, thats why Laws na utekelezaji wake are far better than maazimio katika nchi kama yetu.

Mbaya zaidi wezi na mafisadi wa nchi hii ni WAZEE WALIOKARIRI AZIMIO LA ARUSHA NA KANUNI ZA TANU!
 
Zakumi,
Hakuna innovation yoyote ikiwa kitu hicho Hakihitajiiki..Kiuchumi ktk udogo wa mahitaji wanasema kama hakuna demand hakuna Supply hivyo Production inakatwa na innovation haihitajiki...Kwa nchi hizo zilizoendelea wanasema - west of time and money!
Neccessity is the mother of invention mkuu wangu hakuna hadithi nyingine na wamesema hao hao walioendelea.

Mkandara:

Samahani mkuu. Unazidi kuboronga walahi.

"The Stone Age didn't end because we ran out of stones." [Sheik Ahmed Zaki Yamani,Saudi oil minister, 1970's]

What he meant was that the Stone Age didn't end because there was a situation where the quantity of supplied stones in the market falls short of the quantity demanded or required at a given time or price. In fact, stone tools were almost free and in abundance; however, the innovation of alternative and efficient tools precipitated the fall of the Stone Age.

Here you might argue that necessities stimulated the innovation of alternative and efficient tools, lakini ukiangalia matatizo ya nchi kama Tanzania, idadi ya watu na resources zinazowazunguka, ungetegemea watanzania kufanya ugunduzi. Mpaka sasa uvumbuzi wowote haujatokea na bila kutumia misaada ya watu wengine, watu wengi wako tayari kurudi katika maisha yao ya zamani.
 
Mkandara:
Here you might argue that necessities stimulated the innovation of alternative and efficient tools, lakini ukiangalia matatizo ya nchi kama Tanzania, idadi ya watu na resources zinazowazunguka, ungetegemea watanzania kufanya ugunduzi. Mpaka sasa uvumbuzi wowote haujatokea na bila kutumia misaada ya watu wengine, watu wengi wako tayari kurudi katika maisha yao ya zamani.

Ndiyo athari ya kuto thamini wasomi inapokuja hiyo ni reflection ya policies za serikali yetu kwenye maendeleo ya jamii.

Yaani misitu yote bado wanafunzi wanakaa chini, wakati kuna watu na mifano ya madawati, there no need for innovation hapo huwajibikaji tu ndio amna.
 
Nimesahau kuna mpakistan mmoja huwa ananitania, ikiwa leo first world countries wataweka ndege za bure aiport DSM na kusema wanaotaka kwenda Ulaya wapande ndege bure, for sure (wewe shahidi) kuwa watanzania watataka hata kusimama kwenye ndege ili waende ughaibuni!

Ikiwa una taifa la watu wasio na uzalendo, wanaowaza kujiendeleza kibinafsi, kwenda na kupotelea nje ya nchi, Ikiwa una taifa la watu waliochoka na nchi yao wenyewe! WAKIO TAYARI KUIBA MAFUTA YA TANESCO ili watu wakose umeme1

Taifa hili lina hitaji kwanza MOYO WA KIZALENDO, WATU WAPANDIKIZWE MOYO WA KIZALENDO, MOYO WA KULIPENDA TAIFA, ROHO NA MOYO WA KIZALENDO UKIINGIA, BASI TUTAWAZA NA KUTEKELEZA MAAZIMIO, HII NDIO ASSIGNMENT KUBWA ZA VIONGOZI WETU KULIKO CHOCHOTE KILE, taifa lisilo na wazalendo limekufa!

please let us be honesty, hilo azimio ili kureinforce maazimio lazima sheria zinatumika, thats why Laws na utekelezaji wake are far better than maazimio katika nchi kama yetu.

Mbaya zaidi wezi na mafisadi wa nchi hii ni WAZEE WALIOKARIRI AZIMIO LA ARUSHA NA KANUNI ZA TANU!

Waberoya:

Nilitaka kuanzisha thread ya kuuliza Spirit ya Taifa la Tanzania. Labda Companero na Mkandarea watanisaidia.

Ukiwa hapa Marekani na kutokana na jinsi ya nchi ilivyoundwa, watu wanakuwa na confidence ya kufanya vitu hata ambavyo haviwezekani. Ukiwauliza, watasema hiyo ni spirit yao.

Kwa mfano: Bill Gates, vijana wa facebook, Napster etc, walipopata ideas za kutengeneza pesa, walikuwa tayari kuachia shule na ku-implement ideas zao. Ukiwauliza watakwambia hiyo ni spirit ya taifa lao.
 
Waberoya:

Nilitaka kuanzisha thread ya kuuliza Spirit ya Taifa la Tanzania. Labda Companero na Mkandarea watanisaidia.

Ukiwa hapa Marekani na kutokana na jinsi ya nchi ilivyoundwa, watu wanakuwa na confidence ya kufanya vitu hata ambavyo haviwezekani. Ukiwauliza, watasema hiyo ni spirit yao.

Kwa mfano: Bill Gates, vijana wa facebook, Napster etc, walipopata ideas za kutengeneza pesa, walikuwa tayari kuachia shule na ku-implement ideas zao. Ukiwauliza watakwambia hiyo ni spirit ya taifa lao.

Hatuna Spirit. Roho ya nchi au jamii yeyote, alinena Mwalimu Nyerere kwenye Hotuba yake ya Kwanza kwa Bunge la Jamhuri ya Tanganyika mnamo 1962, ni utamaduni wake. Sasa sisi hatuna utamaduni/roho na wewe ni miongoni mwa watu mnaoona kuwa kujenga utamaduni wetu hakuna maana ila mkialikwa kwenye Thanksgiving huko US mnaenda kula minyama ya Bata Mzinga kumbe hamjui wenzenu ndio wanajenga hivyo hiyo Spirit inayowafanya wawe Wavumbuzi! Azimio la Arusha lilijaribu kujenga Roho ya Taifa ila kama yule Kikaragosi wa Sinema ya Wizard of Oz mkalitupilia mbali huko Zanzibar ili mle kwa uroho wa kifisadi rasilimali zetu bila kuwa na Roho ya Kizalendo!
 
Zakumi,
Mkuu wangu tunabishana kitu gani ikiwa mwenyewe umeshasema, necessities stimulated the innovation of alternative and efficient tools.
Hili sii swala la kubishana ila ndio imani nilokuwa nayo..Ebu fikiria vitu vinavyotengenezwa na chuma kama vingeweza tengenezwa na MAWE...Sidhani!
 
Zakumi,
Mkuu wangu tunabishana kitu gani ikiwa mwenyewe umeshasema, necessities stimulated the innovation of alternative and efficient tools.
Hili sii swala la kubishana ila ndio imani nilokuwa nayo..Ebu fikiria vitu vinavyotengenezwa na chuma kama vingeweza tengenezwa na MAWE...Sidhani!

Sentensi yangu ilikuwa na implication yake. Hukusoma mpaka mwisho, hivyo hukupata kile nilichosema.
 
Hatuna Spirit. Roho ya nchi au jamii yeyote, alinena Mwalimu Nyerere kwenye Hotuba yake ya Kwanza kwa Bunge la Jamhuri ya Tanganyika mnamo 1962, ni utamaduni wake. Sasa sisi hatuna utamaduni/roho na wewe ni miongoni mwa watu mnaoona kuwa kujenga utamaduni wetu hakuna maana ila mkialikwa kwenye Thanksgiving huko US mnaenda kula minyama ya Bata Mzinga kumbe hamjui wenzenu ndio wanajenga hivyo hiyo Spirit inayowafanya wawe Wavumbuzi! Azimio la Arusha lilijaribu kujenga Roho ya Taifa ila kama yule Kikaragosi wa Sinema ya Wizard of Oz mkalitupilia mbali huko Zanzibar ili mle kwa uroho wa kifisadi rasilimali zetu bila kuwa na Roho ya Kizalendo!

Naona umejiingiza kwenye mtego mwenyewe. Azimio la Arusha ndilo, lililoua spirit ya jamii zetu. Watu wakashindwa kufurahi urithi wao na kuanza kuiga vitu vya kiChina.
 
Kwa kukufahamisha zaidi kuhusiana na Necessities, ni sawa na sisi bninadamu tunavyokuwa, na dunia nayo inakuwa... Mtoto anapozaliwa huhitaji maziwa tu, na jinsi anavyokua ndivyo mahitaji ya chakula kingine yanavyopanda hivyo necessty ndio ina stimulate uvumbuzi wa vyakula vigumu na nyenye nutrition..mavazi vile vile..
Na usije changanya uwezo wa mtu au binadamu na innovation hata kidogo, nakumbuka utotoni mwangu sikuvaa viatu kabisa hadi nikiwa mkubwa wa darsa la saba na wala haikuwa noma, kifupi kwa waafrika wengi wetu (maskini) viatu havikuwa neccessity pamoja na kwamba tayari vilikwisha vumbuliwa.
Lakini nimekuja gundua kwamba baada ya wao kuvumbua viatu sijui karne ya ngapi hakuna tena uvumbuzi wa kitu kingine zaidi ya viatu ikiwa kweli properity inaleta invention... Na kama itatokea sijui lini, basi ujue kuna mahitaji ya vazi hilo!
 
Kwa kukufahamisha zaidi kuhusiana na Necessities, ni sawa na sisi bninadamu tunavyokuwa, na dunia nayo inakuwa... Mtoto anapozaliwa huhitaji maziwa tu, na jinsi anavyokua ndivyo mahitaji ya chakula kingine yanavyopanda hivyo necessty ndio ina stimulate uvumbuzi wa vyakula vigumu na nyenye nutrition..mavazi vile vile..
Na usije changanya uwezo wa mtu au binadamu na innovation hata kidogo, nakumbuka utotoni mwangu sikuvaa viatu kabisa hadi nikiwa mkubwa wa darsa la saba na wala haikuwa noma, kifupi kwa waafrika wengi wetu (maskini) viatu havikuwa neccessity pamoja na kwamba tayari vilikwisha vumbuliwa.
Lakini nimekuja gundua kwamba baada ya wao kuvumbua viatu sijui karne ya ngapi hakuna tena uvumbuzi wa kitu kingine zaidi ya viatu ikiwa kweli properity inaleta invention... Na kama itatokea sijui lini, basi ujue kuna mahitaji ya vazi hilo!

Mkandara:

Huoni kwamba una-support ya Nyani Ngabu bila yeye ku-type a key? Katika mazingira yako kuna vitu vyote vya kutengeneza viatu. Na jua linavowaka Tanzania, kuna necessity zote za wewe kuvaa vitu.

Kitu kilichofanya usivae viatu sio ukosefu wa necessity bali utamaduni wa kujifunza kuvumilia matatizo na sio kutafuta ufumbuzi wake. Ni sawa na shule zisizo na madawati, wanachojifunza wanafunzi sio kuwa wabunifu bali kuvumilia shida.
 
Zakumi,
Mkuu wangu siku zote nimekuwa namuunga mkono Nyani Ngabu isipokuwa pale anaposema ni genetic..
Mimi sikuvaa viatu kwa sababu sikuwa na uwezo na pili haikuwa deal wakati Wamasai na Wabarbeig ambao ni Primitive zaidi walivaa viatu vya matairi..hawa waliweza ku invent viatu vyao tena ktk mfumo wa recycling, na waliweza fanya mengi sana ambayo hayakuhitaji elimu wala utajiri. Hawa ni waafrika weusi kama mimi..

Hivyo nachokubaliana na Nyani Ngabu ni kwamba sisi NDIVYO TULIVYO in a sense kwamba tunashindwa kuweka MAHITAJI yetu mbele badala yake tunategemea mzungu aje atuambie kama vile mgonjwa anayetegemea kwamba ni Daktari tu ndiye anaweza kutambua maradhi ya mgonjwa, kinyume cha hapo ni uchawi tu kwenda kwa mganga.. Ni ktk theory hiyo kina Mkapa na viongozi wengi wa Kiafrika (wasomi) wanaamini kabisa kwamba umaskini wetu ni maradhi hivyo hayawezi tibika pasipo Daktari.

But the truth lies before our eyes, umaskini wetu ni wa kujitakia, Ulimbukeni, tunavaa viatu simply because we like the fashion, we look good kama wazungu vile na sio kwamba viatu vinatustiri. Hatuoni necessities zozote zaidi ya majaribio ya Mungu ili kutuwezesha kuwekesha ktk umeme, maji, na kadhalika kwa sababu imani yetu inatueleza kuwa Umaksini wetu ni majaribio ya MUNGU..
Gods must be crazy!
 
Back
Top Bottom