Azim Dewji: Kosa tulilofanya ni kwenda kumchukua MO bila ulinzi lakini Mungu alikuwa upande wetu

Msemaji wa familia ya MO ndugu Azim Dewji amesema walipopokea simu ya MO walikimbilia eneo la tukio bila ulinzi wowote na anakiri hilo lilikuwa kosa. Nimependa busara ya Dewji maana nyakati nyingine mnaweza kuingia kwenye mtego wa adui kirahisi.
Walikuwa wanajua kuwa yupo mahali fulani, na katika mikono ya fulani. There was no need to worry. Katika hali ya kawaida kama huna fununu, any clue ya mtekaji, upigiwe simu kuna nimeachiwa njoo mnichukue , huwezi kuthubutu kwenda. Walijua Mo, mtoto wao yuko wapi na nani! na ndiyo maana hata hospitali hajakwenda maana wanajua kuwa afya yeke was not tempered with at ll! Vinginevyo kama wangelikuwa hawajui sasa hivi angelikuwa USA kwa matibabu/uchunguzi wa afya!
 
Katika filamu au movie action nyingi ni "fiction" sio za ukweli....sasa ukianza kuchambua hizo action za movie utakesha mkuu.
Msemaji wa familia ya MO ndugu Azim Dewji amesema walipopokea simu ya MO walikimbilia eneo la tukio bila ulinzi wowote na anakiri hilo lilikuwa kosa. Nimependa busara ya Dewji maana nyakati nyingine mnaweza kuingia kwenye mtego wa adui kirahisi.
 
Msemaji wa familia ya MO ndugu Azim Dewji amesema walipopokea simu ya MO walikimbilia eneo la tukio bila ulinzi wowote na anakiri hilo lilikuwa kosa. Nimependa busara ya Dewji maana nyakati nyingine mnaweza kuingia kwenye mtego wa adui kirahisi.

Hivi hamjiulizi saa nane usiku MO alimpata wapi mtu aliyempa sm apige kwa familia yake? Kwanini apige kwa familia asipige polisi ambako ni jirani zaidi? Zama hizi shetani ametamalaki ktk kuongoza kwa kafara za damu za watu.2020-25 tutaona makubwa zaidi.
Sjamsikia Bashite akiongelea kupatikana MO ila kupotea kwake alikuwa wa kwanza kusema, Je kunani happ!????
 
Unapajua gymkhana lakini?
Kwa huu uchafu????
IMG-20181020-WA0002.jpeg
IMG-20181020-WA0003.jpeg
 
Unatakiwa utaalam mahsusi kutafsiri kauli ya Azim. Wahusika (familia ya Mo) walikwenda kwenye tukio kwa sababu walikuwa na confidence ya watekaji. Ni dhahiri kuwa familia ya Mo tayari ilikuwa imewasiliana na kufikia makubaliano na watekaji. Ni Dhahiri familia ya Mo ilikuwa tayari imelipa ransom kwa watekaji. [kama ilivyo kawaida] familia ya Mo ilitekeleza sharti la kutohusisha mamlaka za serikali katika kukamilisha makubaliano ya kumrudisha Mo akiwa salama. Hivi ndivyo mipango ya namna hiyo ifanyikavyo dunani kote. Usalama wa mtekwaji na mtekaji bila kuhusisha mamlaka za serikali huwa top priority.
 
Suala la ulinzi huo usiku lilikuwa muhimu unless kuna kitu familia wanaficha either walilipa pesa na wakapata proof of life. Ilitakiwa wawapigie simu polisi ASAP! Pia ingekuwaje kama angetekwa tena au mtu angemuona akapiga simu polisi na Ku claim prize ya bilioni moja?
 
Back
Top Bottom