Vipi ulipata majibu yako: Kigaila kuivunja CDA, Dk Lwaitama ajiunga Chadema | MwanaHALISI OnlineUtawadanganya Hao Hao " Wapumbavu Na Malofa " Wenzako Watakaokuamini Humu JF Na Kwa Kukuumbua Tu Juzi Huyo Huyo Mzee Lwaitama Kaja Kufanyiwa Exclusive Interview Na Media X Iliyopo Nyuma Ya Hotel Ya Kebbys Na Alipomaliza Tu Akatuaga Na Kwenda Moja Kwa Moja Airport Ambako Tokea Juzi Hiyo Hadi Hivi Leo Mzee Lwaitama Yupo Jijini Nairobi Nchini Kenya Kwa Wenyeji University Of Kenyatta Na Anarudi Jumanne au Jumatano Ijayo Na Kama Utataka Uthibitisho Nikupe Namba Yake Anayoitumia Sasa Huko Kenya Alipo Nitafute Ktk PM Nitakupa Ujiridhishe. Endelea Tu KUWATANGULIZA MAPOPOMA Wenzako Humu ILA Binafsi NIMESHAKUDHARAU KULIKOTUKUKA.
Duu,huyo ni naye ni mchaga? Maana mmezoea uzushi eti cdm ni ya wachaga tu
Ndio hata wale maaskofu wakatoliki wote wanadai katiba mpya nao wako cdm... Pia kikwete aliyeruhusu kuanzishwa mchakato wa katiba mpya nae ni cdm damudamu...kumbe alishahamia Chadema!!
Mbona kama umehamaki hivi!!Ndio hata wale maaskofu wakatoliki wote wanadai katiba mpya nao wako cdm... Pia kikwete aliyeruhusu kuanzishwa mchakato wa katiba mpya nae ni cdm damudamu...
Inawezekana kwa sababu akili zenu mnazijua wenyewe...kwa kila mtu anayeishauri serikali au kudai kitu fulani ambacho ni haki yake anaonekana ni mpinzani....!! Wwe kama ni kijana umeenda shule hebu saidia hata kidogo....hakuna serikali ulimwenguni au kiongizi asiye semwa lazima akosilewe kwa namna yoyote ili matokeo chanya yaonekane... Sasa sisi ambao tunatakiwa kuishauri serikali ili itutoe hapa tulipo tumekuwa waimba ngonjera za kusifu wafalme ambazo zinawajaza viburi na kujiona Mungu watuMbona kama umehamaki hivi!!
Polepole saizi yake akina yeriko nyerere sio profesaHapo sasa chadema imepata mtu sahihi wa kupambana na Polepole kwenye media.
Sijaona ushauri wowote kwa Serikali kutoka kwako au chama chako zaidi ya kuizushia tuInawezekana kwa sababu akili zenu mnazijua wenyewe...kwa kila mtu anayeishauri serikali au kudai kitu fulani ambacho ni haki yake anaonekana ni mpinzani....!! Wwe kama ni kijana umeenda shule hebu saidia hata kidogo....hakuna serikali ulimwenguni au kiongizi asiye semwa lazima akosilewe kwa namna yoyote ili matokeo chanya yaonekane... Sasa sisi ambao tunatakiwa kuishauri serikali ili itutoe hapa tulipo tumekuwa waimba ngonjera za kusifu wafalme ambazo zinawajaza viburi na kujiona Mungu watu
Sijaona kivuko kibovuWewe jamaa huwa naangaliaga sana post zako nyingi huwa unatumia nguvu nyingi sana kuwaita UKAWA mafisadi,mara wezi kwani wamekuibia nini wewe binadamu?,Naomba nikuulize swali...HIVI KUNA MAFISADI KAMA HAWA APA??...NA NI WA CHAMA GANI???
&[HASHTAG]#9679[/HASHTAG];MAGUFULI-KASHIFA YA UUZWAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI MWAKA 2003 KWENYE REPORT YA CAG ALIPIGA BILLION.261
&[HASHTAG]#9679[/HASHTAG];CHENGE-RADA BILLION 46,ESCROW ALIPIGA BILLION 1.6
&[HASHTAG]#9679[/HASHTAG];TIBAIJUKA-ESCROW
&[HASHTAG]#9679[/HASHTAG];NGEREJA-ESCROW
&[HASHTAG]#9679[/HASHTAG];PROF.MUHONGO-ESCROW
&[HASHTAG]#9679[/HASHTAG];MWAKYEMBE-MABEHEWA YA TRENI 50 KWA BILLION.400 WAKATI YAMECHAKAA NA THAMANI YAKE NI BILLION.241 NYINGINE AMEKULA.
Sasa unapata wapi LEGITIMACY YA KUWAITA UKAWA MAFISADI WAKATI NYIE NDO MNAONGOZA???
NA KAMA HUKO KWENU CCM HAO MAFISADI NDO WAMEJAA KULIKO UKAWA WENYE FISADI MMOJA "EDWARD LOWASSA" KAMA MNAVYOKOMALIA,JE NI NANI ANASTAHILI KUCHUKUA NCHI KATI YA UKAWA AU CCM WENYE MAFISADI LUKUKI????
KAMA KWELI WEWE UNAITAKIA MEMA NCHI YETU TANZANIA...EBU NIJIBU AYO MASWALI HAPO JUU?????
Mimi bado nipoAmekabidhiwa kadi na Benson Kigaira hapa Dodoma.