Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Ccm ndio nyumbani kwa mafisadi
Alafu nashangaa sasa hao CCM Wanamnyoshea kidole kimoja "Edward lowassa" kuwa ni fisadi wakati Vidole vyao vinne vyote vinawaangalia wao wenyewe.
Ccm ndio nyumbani kwa mafisadi
Alafu nashangaa sasa hao CCM Wanamnyoshea kidole kimoja "Edward lowassa" kuwa ni fisadi wakati Vidole vyao vinne vyote vinawaangalia wao wenyewe.
Anaweza kuja kuchukuwa ila sioni mantiki yeye aache shughuli zilizompeleka aje tz achukuwe kadi halafu aende kenya. Kwani kadi zina expire?Kwa hiyo kama alienda Kenya hawezi kuja TZ kuchukua kadi yake na kurudi Kenya. Mbona mindege imejaa kibao tu
............By Ben Mkapa...............Nimemuumbua Vilivyo Huyo Mleta Mada Wenu Na Mwambieni Anibishie au Alete Tena Uwongo Kama Siyo Uzushi Wake Mwingine Wa Kumuhusu Dr. Azaveli Lwaitama Nimuumbue Tena. Anadhani JF Imejaa " Wapumbavu Na Malofa? ". Tupo Tunaojitambua Na Kujua Nini Kinaendelea Kila Sekunde, Dakika, Saa Na Siku Zote.
Mnh....picha plzzzzzzzzzzzzzz
Anaweza kuja kuchukuwa ila sioni mantiki yeye aache shughuli zilizompeleka aje tz achukuwe kadi halafu aende kenya. Kwani kadi zina expire?
Hotel ya kebbsy bamaga si ndiyo ile ambayo mmiliki halali Ni locks ambaye kammilikisha mmilili kivuli ambaye Ni hawara yake anaeitwa Dada Kabula. Poor locksUtawadanganya Hao Hao " Wapumbavu Na Malofa " Wenzako Watakaokuamini Humu JF Na Kwa Kukuumbua Tu Juzi Huyo Huyo Mzee Lwaitama Kaja Kufanyiwa Exclusive Interview Na Media X Iliyopo Nyuma Ya Hotel Ya Kebbys Na Alipomaliza Tu Akatuaga Na Kwenda Moja Kwa Moja Airport Ambako Tokea Juzi Hiyo Hadi Hivi Leo Mzee Lwaitama Yupo Jijini Nairobi Nchini Kenya Kwa Wenyeji University Of Kenyatta Na Anarudi Jumanne au Jumatano Ijayo Na Kama Utataka Uthibitisho Nikupe Namba Yake Anayoitumia Sasa Huko Kenya Alipo Nitafute Ktk PM Nitakupa Ujiridhishe. Endelea Tu KUWATANGULIZA MAPOPOMA Wenzako Humu ILA Binafsi NIMESHAKUDHARAU KULIKOTUKUKA.
Kwani tayari amesharudi Kenya?
Hata akienda hatuwapi nyie wezi wa Ukawa na mafisadi wenu
Lwaitama si ni CHADEMA tangu zamani, yeye na Professor Baregu? And who is Benso Kigaira? WM