Kanifundisha huyu mzee. Ni kati ya walimu wa hovyo kabisa niliowahi kufundishwa nao hapa duniani. Anajifanya anajua kila kitu. Zero respect from me na hana mchango wo wote mwacheni atange tange tu. As to you, tulia dawa ikuingie...teh teh teh...Hata kama ni siasa, dharau za namna hii sio nzuri na sio ujanja..
Kumbe kuna watu wana matatizo humu, Lwaitama alikuwepo Dodoma viwanja vya barafu. Na kabla hajaongea kigaira, yeye ndiye aliyetangulia kuongea.Kadi ya chama alikabidhiwa na kigaira.
Mwanzo nilipoanzisha uzi u walikuwa wakimsifia na kubisha haswa,zilipotupiwa picha maruhani yakawapanda,dozi itawakaa hatahivyo
Kanifundisha huyu mzee. Ni kati ya walimu wa hovyo kabisa niliowahi kufundishwa nao hapa duniani. Anajifanya anajua kila kitu. Zero respect from me na hana mchango wo wote mwacheni atange tange tu. As to you, tulia dawa ikuingie...teh teh teh...
Maovu yote yanayofanyika nchi hii mchana kweupe,bado unaweza kujiona akili yako iko sawa?!! hebu rukaruka kama mara nne hivi labda dozi itakuingia vizuri akiliniPesa ina uwezo wa kila kitu inaweza kununua mtu na watu wake na wote wakaunga mkono dr slaa na mhe lipumba wana akili sana zaidi yetu wanajua wanafanya nn ila ss hatujui
Amekakabidhiwa kadi na benson kigaira hapa dodoma
Mimi sina tija katika chama cha siasa na sitegemei mwanasiasa eti aje anibadilishie maisha yangu. Wewe endelea kuamini kuwa eti kuna mwanasiasa atakuja akupe sijui ajira sijui nini. So hata kama angehama na kwenda mbinguni hainiathiri cho chote. By the way, huyu alikuwa ameshajitangaza kuwa ni mwanachama MFU wa CCM. Sijui kama hata unaelewa kuwa wafu hawana faida yoyote! Sad!Wewe ndio unalia lia nini sasa?yaani kuhama kutoka ccm kwenda cdm ndio kutangatanga,akihama kutoka cdm kwenda ccm basi huyo katumia busara?miccm mmechanganyikiwa kweli
mkuu hivi bado wazazi wako wapo hai ?
Jamaa gani huyo? PhD yake inahusikaje hapa? Unaelewa hata maana ya PhD wewe?Mkuu, huyu jamaa kuna siku alijinadi anasoma PhD Marekani, kwa kweli kama taifa litakuwa na watu.wa aina hii basi mimi sina mpango na PhD.