hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,545
Great! Hawa ndio tunawahitaji.
Haswaa.
Great! Hawa ndio tunawahitaji.
Mbona wakuu kuna mke wake na Dr. Lwaitama anaitwa Gentamycine kasema kwamba Dr. yuko Nairobi kikazi? Kwamba alikesha naye Kebbys Hotel na wakaachana leo asubuhi wakiwa anaelekea Nairobi? Sasa hii habari ina ukweli kiasi gani?
Kichwa hiki
huyo huyo exaveli au azavelli lwaitama unayemjua ww
Ni kizee kimoja hivi kifupi chenye mixed dental formula kilichofulia halafu kinaongeaaaaaa cherehani ya Singer cha mtoto. Kilileta za kuleta kwenye ndege majuzi pale Mwanza kikalimwa mtama halafu kikatupwa ndani. Ni kichumia tumbo tu na bila shaka kimekimbilia huko CHDM kuganga njaa kwani kimeshastaafu. May be kinafaa kwenye mambo ya propaganda na kutumika!Waitama? Ndo nani huyu