Azam TV waondoa chaneli za bure

Azam TV waondoa chaneli za bure

Hapa lawama zote ni kwa TCRA, kwa 7bu ndiyo Mamlaka iliyoutangazia Umma kuwa Ving'amuzi vyote vitazimika kuonyesha bure local channels zote ndani TZA. lakini azam TV, continental decoder, zuku usipolipia tuu huondoa / hufungia channel zote. Ambapo ni usumbufu mkubwa kwa watz wa kipato cha chini.
Tcra wanapaswa kuwatumbua wenye Ving'amuzi hivyo.
 
Mi mbona kwangu startimes wameshakata muda kitambo kwa sasa natumia tu DSTV
 
Hapa lawama zote ni kwa TCRA, kwa 7bu ndiyo Mamlaka iliyoutangazia Umma kuwa Ving'amuzi vyote vitazimika kuonyesha bure local channels zote ndani TZA. lakini azam TV, continental decoder, zuku usipolipia tuu huondoa / hufungia channel zote. Ambapo ni usumbufu mkubwa kwa watz wa kipato cha chini.
Tcra wanapaswa kuwatumbua wenye Ving'amuzi hivyo.
Mkuu kwani hao TCRA hawajui kinachoendelea na kwan wao hawatumii hivyo ving'amuzi...?? si wanabaki tu kuziba maskio huku sisi wananchi wa kawaida tukiumia nadhani kuna jipu kubwa lipo hapo TCRA naomba sana magufuli alitumbue...,,,!!
 
Niliwauliza juu ya hili siku ya Nane Nane TCRA wenyewe wakasema kuna ving'amuzi ambavyo ni Pay Tv na ambvyo si vya Pay Tv. Wakavitaja mfano wake ni Zuku, Dstv n.k nadhani inawezekana hata Azam wanachukua mkondo huo wa Pay Tv
 
Mungu hebu tukumbuke wa watanzania, tumechoka kudanganywa km watoto, tumechoka kutukanwa Na kudhalilishwa kwa kuitwa wapumbavu Na malofa, kila Leo hali inazidi kuwa mbaya, Ee Mungu uishiye inatosha sasa kwa ufedhuli huu tunaofanyiwa,

Ee Mungu Muumba mbingu Na dunia, wananchi wa Tanzania, tunakushtakia wewe kwani ndiwe hakimu wa mwisho, hukumu hawa watu, wAmetudhalilisha sana, wametuonea sana, na kututukana sana, wananchi tumechoka.

Mungu, maombi yetu ni dhaifu Na hayatoshi kitu kwako, lkn Km wazalendo Na wenye uchungu Na nchi yetu, tumechoka kwa kuugua maana kila usiku twalia, tunalowesha magodoro yetu kwa machozi, tunaomba utujibu, usikawie, tumekauka Na ni dhaifu uko wapi Mungu wetu?
 
Tusipoangalia hii awamu mambo mengi sana yatarudi nyuma tofauti na matarajio ya wengi sio kwenye visimbusi tu bali tasnia nzima ya habari.
 
TCRA ni jipu lililokomaa sijui Magufuli halioni?
 
Mb 1 voda, mb 8 tigo ,Hivi kweli kuna tofauti gani kati ya DG wa TCRA na WILSON KABWE?
 
Ngoja tuwa-mention,jamani TCRA pitieni na huku,hasa mkuu Mungy mzee wa PRO
 
Kwanini TCRA isfutwe? Maana nktzama mitandao ya sm inavojiamulia kwny mb, gharama za kutoa pesa, vngamuz vnavojiamulia vynyw bila wananchi kujulishwa, sm fek znavyorudshwa tena na kuwashwa aiseeeeh huyu mkurugenz wa TCRA atakua na undugu na wakubwa s bure
 
Hali hii kumbe imejirudia.. Ilikiwaje TCRA Iliwalegezea 2016?? Naona na saivi wataachia tuu.
 
Back
Top Bottom