kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Huyu Azam kajitahidi sana Channels za dini za kikristo kaweka nyingi sana tena bure kabisa huna hata haja ya kulipia
Channel za kikristo ni nyingi kuliko hata za kiislam lakini bado kuna watu wanalalamika kisa mmiliki wa azam ni muslim mnataka awafanyie nini mridhike nyie watu?
Continental decoder hadi channel zao zote ni udini mtupu hadi channel zao za kisimbusi ni za kidini, na waislam hatukulalamika
Haya Zuku jee?Tumelalamika?
Vipi itv na Startv kunuka udini mtupu na mpaka watangazaji kulazimishwa kuvua hijabu au kitambaa wasitangaze wakiwa wamejistiri tulilalamika?
Nyie watu mtafanyiwa nini mrudhike?Mbona mambo mengine ni ya kawaida wala hamna haja ya kupanick?
Au ndo yaleyale kuwa hawatokua radhi na nyie hadi mfuate mila zao?Kingamuzi pekee ambacho wamejitahidi kubalance na kuepuka udini ni azam pekee na bado watu hamuoni
Startimes waislam wanalazimika kulipishwa hadi tv imani ndo waone lakini wakristo hadi wasipolipia machannel yote ya kilokole wanayapata free na bado hatujalalamika
Wacheni udini hauna faida yoyote kama vipi anzisha kampuni yako ya visimbusi......
Channel za kikristo ni nyingi kuliko hata za kiislam lakini bado kuna watu wanalalamika kisa mmiliki wa azam ni muslim mnataka awafanyie nini mridhike nyie watu?
Continental decoder hadi channel zao zote ni udini mtupu hadi channel zao za kisimbusi ni za kidini, na waislam hatukulalamika
Haya Zuku jee?Tumelalamika?
Vipi itv na Startv kunuka udini mtupu na mpaka watangazaji kulazimishwa kuvua hijabu au kitambaa wasitangaze wakiwa wamejistiri tulilalamika?
Nyie watu mtafanyiwa nini mrudhike?Mbona mambo mengine ni ya kawaida wala hamna haja ya kupanick?
Au ndo yaleyale kuwa hawatokua radhi na nyie hadi mfuate mila zao?Kingamuzi pekee ambacho wamejitahidi kubalance na kuepuka udini ni azam pekee na bado watu hamuoni
Startimes waislam wanalazimika kulipishwa hadi tv imani ndo waone lakini wakristo hadi wasipolipia machannel yote ya kilokole wanayapata free na bado hatujalalamika
Wacheni udini hauna faida yoyote kama vipi anzisha kampuni yako ya visimbusi......