Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,069
- 18,048
Ndugu mteja, kutokana na serikali kuongeza VAT kwenye malipo ya mwezi na ongezeko la thamani ya pesa za kigeni, inatubidi tuongeze bei ya vifurushi. Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Julai 2015, malipo ya mwezi yatakuwa kama ifuatavyo: Azam Pure itakuwa 12,000, Azam Plus 20,000, Azam Play 30,000.
Ngoja nirudi tu kwa mafisadi.
Ngoja nirudi tu kwa mafisadi.