Azam TV kwenye application sio poa

Azam TV kwenye application sio poa

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,990
Reaction score
12,023
Mafundi wenu sijui ndio wanafanyia majaribio ya kurekebisha sauti huku. Application mara nyingi imekuwa kama second option kwenu ingali watu tunalipia!?, kwa kuwa customer desk lenu halifikiki kirahisi chukueni ujumbe wenu hapa, tunao subscribe kwenye Application yenu tutendeeni haki the enjoyment ya mpira haipo kelele mikwamo nk!
 
Back
Top Bottom