Tetesi: Azam Tv kupandisha bei vifurushi

Wamepandisha nimeshangaa kweli kutoka 28K mpaka 35K. Kifurushi chenyewe nanunua kwa ajili ya watoto na cartoons. Bora kudownload animations waangalie mpaka wakinai
35k kwa mwezi ni sawa na 1,166.6 kwa siku.
Sidhani kama unashindwa kuwalipia watoto 1,166.6 kila siku waenjoy vipindi vyao.

Nakushauri nunua kibubu uwe unaweka 1200 kila siku. Mwisho mwezi utapata 36k itatosha kabisa kulipia kifurushi.
 
35k kwa mwezi ni sawa na 1,166.6 kwa siku.
Sidhani kama unashindwa kuwalipia watoto 1,166.6 kila siku waenjoy vipindi vyao.

Nakushauri nunua kibubu uwe unaweka 1200 kila siku. Mwisho mwezi utapata 36k itatosha kabisa kulipia kifurushi.
Wataangalia animations za kutosha. Mara next month inaenda laki. Bora niweke bundle la mwezi waangalie ykids.
 
35k kwa mwezi ni sawa na 1,166.6 kwa siku.
Sidhani kama unashindwa kuwalipia watoto 1,166.6 kila siku waenjoy vipindi vyao.

Nakushauri nunua kibubu uwe unaweka 1200 kila siku. Mwisho mwezi utapata 36k itatosha kabisa kulipia kifurushi.
Shida sio kulipa hiyo pesa. Azam ni wezi sana kuna programs wanarudia kila mwezi. Mfano Dkt.Paulo yule wa kutibu wanyama hakuna jipya. Kuna vipindi vingi sana wanarudia na wanaleta vipindi pila kujali mahitaji ya mteja. Mfano hiki kipindi cha kulfi ni upupu mtu. TCRA wangetoa maelekezo kila mwezi wawe wanatoa ratiba ya vipindi vyao kwa wateja.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Shida sio kulipa hiyo pesa. Azam ni wezi sana kuna programs wanarudia kila mwezi. Mfano Dkt.Paulo yule wa kutibu wanyama hakuna jipya. Kuna vipindi vingi sana wanarudia na wanaleta vipindi pila kujali mahitaji ya mteja. Mfano hiki kipindi cha kulfi ni upupu mtu. TCRA wangetoa maelekezo kila mwezi wawe wanatoa ratiba ya vipindi vyao kwa wateja.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Wanarudia kwamba wanaweka flash halafu wanarusha hewani hiko kipindi kupitia hio flash au?
 
35k kwa mwezi ni sawa na 1,166.6 kwa siku.
Sidhani kama unashindwa kuwalipia watoto 1,166.6 kila siku waenjoy vipindi vyao.

Nakushauri nunua kibubu uwe unaweka 1200 kila siku. Mwisho mwezi utapata 36k itatosha kabisa kulipia kifurushi.
Umeandika upupuu
 
Wamepandisha nimeshangaa kweli kutoka 28K mpaka 35K. Kifurushi chenyewe nanunua kwa ajili ya watoto na cartoons. Bora kudownload animations waangalie mpaka wakinai
Mhhh kwa channel zipi hasa zenye akili?
 
Tujuandae kuondolewa kwa channel za bure soon. RIP Magu.
Chaneli za bure haziwezi kuolewa kwa maana wenye chaneli wanaghafamia leseni kubwa ili wewe mtazamaji wao uwaone bure, wapo kisheria kabisa kuwa waangaliwe bure.
Ndio maana ma chaneli ya kulipia yanaonesha series kutwa kucha ili kupata maadict wa maseries waendelee kulipia
 
Baada ya Dstv kupandisha vifurushi vyake mwezi septemba, nimedokezwa muda wowote kuanzia sasa, AzamTv nae atapandisha vifurushi vyake, kile cha kuona mpira elfu 20 sasa kuwa 25! Ni matokeo ya mlolongo wa kodi walizopanfishiwa. Je tutafika?
Tunajenga nchi...
 
kama wewe una akili timamu angalia hilo swali nililouliza nimeuliza kama mtu anaejua au mtu asiejua?
Ngoja nikuambie kitu hawa watoa huduma ya kulipia wanalipa ada ndefu sana TCRA ndio maaba nao kujiendesha kwa faida inabidi wanunue Maudhui ama content to kwa watu mbalimbali. Azam ndio maana kawahi deal la mpira kusudi limlipe zaidi. Mimi nazungumzia programs za nje ambazo hata wao inabidi walipe ili kuweza kupata vibali vya wewe kuona. Shida yangu ya Azam wanarudia programs nyingi mfano National Geography wana program ya ajali ya ndege sasa hapo wanarudia sana hizo programs. Ndio maana hata hizi Turkish Soap Opera unaona zingine wanazirudia sana. Nadhani ungefanya utafiti ili ujue nina maanisha nina. Programs nyingi za Azam zinajirudia sana sina maana ya Flash. Endapo utakuwa na utata nipo tayari kukupa shule kidogo kuhusu haya mambo ya kulipia kupitia hivi Ving'amuzi. Karibu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Ndio watajua hawajui .. wauzaji CD, DVD na bongo movie kwa ujumla watarejea sokon
 
Ngoja nikuambie kitu hawa watoa huduma ya kulipia wanalipa ada ndefu sana TCRA ndio maaba nao kujiendesha kwa faida inabidi wanunue Maudhui ama content to kwa watu mbalimbali. Azam ndio maana kawahi deal la mpira kusudi limlipe zaidi. Mimi nazungumzia programs za nje ambazo hata wao inabidi walipe ili kuweza kupata vibali vya wewe kuona. Shida yangu ya Azam wanarudia programs nyingi mfano National Geography wana program ya ajali ya ndege sasa hapo wanarudia sana hizo programs. Ndio maana hata hizi Turkish Soap Opera unaona zingine wanazirudia sana. Nadhani ungefanya utafiti ili ujue nina maanisha nina. Programs nyingi za Azam zinajirudia sana sina maana ya Flash. Endapo utakuwa na utata nipo tayari kukupa shule kidogo kuhusu haya mambo ya kulipia kupitia hivi Ving'amuzi. Karibu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Kama Ile Chanel Ya Kix, Yaaani Wanarudia Sana Zile Movie Zao, Hata National Geographic Wild Nao Wanarudia Sana Program, Unakuta program kuhusu maisha ya Simba Msifuni Wanarudia Zaidi ya ma10. Wanachukiza Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom