Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,099
Kikubwa waongeze idadibya chaneli za michezo, mfano weekend mechi ni nyingi wao wanachagua mechi gani waoneshe mechi gani waache!!
Kwakuwa wameleta wenyewe Ligue 1 basi kuwe na chaneli maalum ya Ligue 1, kuwe na chaneli maalum ya Bundesliga na chaneli maalum za mpira wa makaratasi (NBC PL)
Kwakuwa wameleta wenyewe Ligue 1 basi kuwe na chaneli maalum ya Ligue 1, kuwe na chaneli maalum ya Bundesliga na chaneli maalum za mpira wa makaratasi (NBC PL)