Azam TV Imefeli kwenye kujitangaza, haijulikani mechi inazoonyesha hadi ubahatishe, walio kitengo cha Promotion wang'olewe

Dunia ya leo watu waache kutafuta pesa waanze kugombana kisa maswala ya Imani hiyo ngumu sana. Maisha yameshakuwa ya tofauti sana.

Anyways why unaongea kama upo 100% assured ya kitu unachosema?!

Mimi nimeongea baada ya kutafiti na kujionea like i know what am saying.
Mzee kwani hakuna sehemu ambayo watu wanapigana kisa dini!? Mapigano hayakwepeki, yawe ya ukabila, udini, utawala na kadhalika, sasa sisi kwetu ukabila ni kidogo mnoo kulinganisha na udini, naliona humu jf, utakuta watu mpaka wanakashfiana kisa dini..

Nazungumza hili sababu nimeliona, mie azam nimeenda na project yangu pale, nikakutana na yeye patrick kahemele, jamaa kutizama hivi, akaikubali idea changamoto ilikuwa katika hakimiliki ya baadhi ya vitu vitu, akawa anahitajika na bosi wake kuna kikao cha dharura, akaniambia idea iko moto hili suala la hakimiliki tutaangalia jinsi ya kufanya fanya, ikabidi anirushe kwa msaidizi wa zakazakazi ambae ni muislam mwenzangu, huwezi amini yeye ndio akanipinga, kwanza itakuwa gharama, sijui kimeenda kimerudi, mzee mengine hayaelezeki, lau kama ingekuwa ni udini basi ningepata kazi chap sababu huyo kiongozi kaelewa mzigo, ila msaidizi tena muislam mwenzangu akabana, kwanin asingenifnyia wepesi nami muislam mwenzie!?

Pale mapokezi kuna mabinti nilikuta nahisi si waislam.. kama ingekuwa udini kuna baadhi ya wafanyakazi wasingekuwepo.. sauti ya radi mpenja, jina kalipatiabwapi si pale pale mzee au?

Labda unajua zaidi.. ila tuache udini, sumu yake inasambaa vibaya mnoo.
 
Ukiona hao uliowataja wako hapo basi ujue ametafutwa mtu anaevaa kubazi na bagalashia amekosekana,hao wako hapo ila wasaidizi wao wote ni kubazi tupu!! Kuna ubaguzi sana hapo kwa mpemba.
Labda, nisipinge kitu nisichokijua kwa 100% inawezekana ukawa upo sahihi pia.
 
Kuna Baraka Mpenja
Patrick Nyembera
Charles Hilary
Ivona Kamuntu

Mkuu , hawa jamaa wanasumu nyoyoni mwao za chuki dhidi ya SSB & Company.

Ila management haina shida kabisa ipo Well balanced na kuajiri quality people.
Labda ratio haijabalance
 
Waislamu tunaonewa sana nchi hii,tunaonekana kama hatustahili chochote kizuri.mlitunyima elimu kipindi kile wazee wetu wakakimbilia biashara na masokoni lakini bado tukifanikiwa na huku mnaona hatustahili
Hayo ni mawazo yako na nakuonea huruma sana kama mwaka 2021 unaingia na hizo perceptions za Victim wa imani.

Like ndugu, seriously dini ni kitu cha kujifunza tena ni foreign imagine unaamini unabaguliwa katika jamii iliyochangamana kiasi hiki that is Grade A nonsense and total wastage of your brain power and energy to think that way.

Dude i was literally on about race, mimi nilikuwa naongelea uzanzibari na utanganyika hapa kama ulinotice.

Ukienda katika kampuni za bakhressa ni wapemba wamejaa and wakikosa wenzao kuwapa shavu wanavaa kofia ya imani na kuanza kuchagua wabongo wenye imani moja nao.

Sasa kama haujanotice hebu nenda katika viwanda, team ya mpira na media chunguza utaona kama utakuja na akili hiyo hiyo.


Anyways acha kupenda kutumia dini kama identity yako, identity yako hapa duniani ni uafrika yaani mtu mweusi. Kama unabisha nenda hapo Saudi Arabia, iran, Urusi, Uingereza au taifa lolote halafu uone ubaguzi ukikuvaa utatafuta identity gani kujihifadhi kama haujatafuta watu weusi wenzako.

Dini izi just a mentality. Wewe kama kweli ni muislamu na umeshika dini yako nikikuhoji matendo yako yanayo kuidentify kama Muslim utashangaa kutambua kuwa ni kanzu, kofia , msaafu baasi ndizo alama zako ila tabia ni zero kuidentify kama Muslim ila nikikuuliza ngozi tu hapo na culture utajua wewe ni mwafrika. Hivi ukipatwa na condition ya permanent amnesia yaani ukapoteza full memory ya maisha yako unadhani utakumbuka kuwa ulishawahi kuwa muislamu?! No hautakumbuka sababu imekuwa implanted katika kichwa chako tokea utotoni kuwa wewe ni wa imani fulani ila race yako ni mwafrika,the first thing ukipoteza kumbukumbu ukiamka utaona ngozi nyeusi that moment utajua identity yako sababu ya watu unaofanana nao ngozi na kushare muonekano.

So don't bring me hizi story za uislamu sijui ukristo that is your personal business hakuna hiyo identity its your personal choice in this life kufuata imani fulani ndio maana sote tunaexist na tunapata baraka sawa sawa.

Ila race yako ndio inaamua unafiti wapi kwenye hii dunia leo kama unabisha test utanielewa.

DINI SIO IDENTITY YAKO ni personal thing and ndio maana huwezi lazimisha mtu kufuata dini fulani au kuamini nini.

So hebu kajielimishe before haujaongea this crap kwa mtu mwingine.
 
Uislam hauna muda wa kukaa na kujadili ushoga uruhusiwe ama usiruhusiwe, jibu ni moja tu kwa uislam ushoga ni NO!, Ila kuna dini kabisa zinakaa kujadili hili kama uruhusiwe ama la
Janga la ushoga halina uhusiano na taasisi za kiimani bali ni swala la kimaadili.

Sasa inaweza kuwa misikiti viongozi ni wakali ila ni vitu mabavyo vinatokea kwanye jamii iliyowazunguka ila watu wa imani hiyo hiyo.

So nadhani hamisha akili yako usiwe unajadili sana dini bali tazama zaidi jamii yako nje ya imani au dini utaona picha kubwa. Watu waimani tofauti wanapofikwa na janga ina maana imani yako ni next.

So make efforts kukemea sio kuchekelea
 
Comment ya kwanza kabisa baada ya mada yako ililenga huko, ungeiripoti mods wangefanya yao, umeiacha ndio matokeo yake hayo. watu wanailalamikia uhai media kwa udini wanasahau kuwa top mgt ni wagalatia watupu
Aisee naomba ujifunze kuongea kwa heshima na kwa kutumia utulivu wa akili na hekima.

Mimi sio mwenzako au level yako katika mijadala naomba ujue hilo. Sina muda wa kukaa kujadili mabishano ya kidini wakati hakuna ulazima wa kufanya hivyo kwa upande wangu.

Nenda kwenye komenti yangu halafu unambie ni wapi nimesema neno DINI popote pale.

Au neno MLENGO linatumika kumaanisha dini?!


Mtu asie na adabu ukiongea neno kawaida yeye atatafasiri kwa level ya akili yake.

Sasa sitapoteza wino wa simu yangu kukuambia nini nilimaanisha sababu kuna msemo wa kiswahili wanasema fumbo mfumbie mjinga, mwerevu atatambua. Na pia asiejua maana usimwambie maana.

Kaa na fikra zako ulizowazia na uache kunimention tafadhali.
 
Labda hao wanaopendelewa ndio wamemletea neema ya kumfanya Bakhressa na kampuni zake kuwa bilionea mkubwa East en Central África na inasemekana ndio alianza nao toka akiwa na ka-bakery cha mikate

Ilhali huku Serikalini wanaopendelewa ndio wamedhoofisha nchi iwe kwenye mkwamo wa kimaendeleo, ufisadi na uhujumu miaka na miaka
Akina nani unaomaanisha maana naona unaanza kuongea kwa mafumbo as if umenielewa na mimi naona umepotoka tu na ulichojielewesha ndugu....?!
 
Mzee kwani hakuna sehemu ambayo watu wanapigana kisa dini!? Mapigano hayakwepeki, yawe ya ukabila, udini, utawala na kadhalika, sasa sisi kwetu ukabila ni kidogo mnoo kulinganisha na udini, naliona humu jf, utakuta watu mpaka wanakashfiana kisa dini..

Nazungumza hili sababu nimeliona, mie azam nimeenda na project yangu pale, nikakutana na yeye patrick kahemele, jamaa kutizama hivi, akaikubali idea changamoto ilikuwa katika hakimiliki ya baadhi ya vitu vitu, akawa anahitajika na bosi wake kuna kikao cha dharura, akaniambia idea iko moto hili suala la hakimiliki tutaangalia jinsi ya kufanya fanya, ikabidi anirushe kwa msaidizi wa zakazakazi ambae ni muislam mwenzangu, huwezi amini yeye ndio akanipinga, kwanza itakuwa gharama, sijui kimeenda kimerudi, mzee mengine hayaelezeki, lau kama ingekuwa ni udini basi ningepata kazi chap sababu huyo kiongozi kaelewa mzigo, ila msaidizi tena muislam mwenzangu akabana, kwanin asingenifnyia wepesi nami muislam mwenzie!?

Pale mapokezi kuna mabinti nilikuta nahisi si waislam.. kama ingekuwa udini kuna baadhi ya wafanyakazi wasingekuwepo.. sauti ya radi mpenja, jina kalipatiabwapi si pale pale mzee au?

Labda unajua zaidi.. ila tuache udini, sumu yake inasambaa vibaya mnoo.
Nadhani bado haujaelewa kabisa nilichomaanisha. Sikupingi hiyo experience uliyopitia na ningekuwa nipo katika mjadala wa maswala ya dini ningekuunga mkono au kikukanusha.

But that's not my call at all. Mimi Dini si swala najadili hata siku moja maana its not a universal thing na wala si swala la lazima.

Na mara nyingi ukimuona mtu anapania ajenda za udini tazama nyuma yake utagundua ana other personal au life issues zinamuendesha dini is just an excuse ya kutolea hasira. Huwezi nikuta najadili dini. Though kama swala nitaloligusia litakuwa limehusishwa na dini hapo nitachangia.

Ila dini sio issue kubwa kwangu. Dini ni swala personal na siwezi kubembeleza au kumlazimisha mtu kuhusu dini nje ya hapo pia siwezi na sina muda wa kujiingiza katika kubishana maswala ya dini as if ni some sort of identity. Jeez why watu siku hizi wanakosa knowledge wanakuwa so frustrated na pretty issues hivi. Hivi shetani na ufalme wake mtamuweza kweli kama hivi ndivyo.namna mnapambana nae..... ?!
 
Janga la ushoga halina uhusiano na taasisi za kiimani bali ni swala la kimaadili.

Sasa inaweza kuwa misikiti viongozi ni wakali ila ni vitu mabavyo vinatokea kwanye jamii iliyowazunguka ila watu wa imani hiyo hiyo.

So nadhani hamisha akili yako usiwe unajadili sana dini bali tazama zaidi jamii yako nje ya imani au dini utaona picha kubwa. Watu waimani tofauti wanapofikwa na janga ina maana imani yako ni next.

So make efforts kukemea sio kuchekelea
Kama hujanielewa ruksa kuuliza, umeona niliyemquote alichoandika?
 
Yani unasema ZBC2 ni chanel ya misikiti halafu unasema lengo lako halikuwa dini au ulidhani usingelisema ZBC2 ni chaneli ya misikiti uzi wako usingelieleweka?
Sijui kama ulielewaje , lakini kwa 98% ZBC 2 ni channel ya dini na tena ni ya mashehe , na mara nyingi ni ya mambo yanayofanyika msikiti wa Mtoro , na mara chache mashehe wcengine , kwahiyo kwa hapa sijadanganya , Bali hoja yangu hapa ni kwamba unapoweka mpira kwenye channel kama hii ni vizuri ukapiga promo ili sisi wadau tujue kwamba game iko ZBC2 , huwezi tu kuamua kuweka game kwenye TV Upendo kwa mfano ukataka tuotee tu wakati tunafahamu miezi yote kwamba TV upendo ni uwanja c kwaya .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Azam kwenye mambo yake mengi inapokuja swala la kutoa ajira amekuwa analenga sana watu wa Tanzania visiwani yaani Zanzibar na pia kutokana na mtindo huo wale wadau wanajenga sana akili za udini yaani vetting zao wanatazama sana udini utadhani wanakwenda kufanya ibada.
Umeruka ruka weee mwishiwe umenasa, sasa naanza kukutajia wabara na wewe walete waznz, Tido Mhando, Charles Hilal, Patrick Nyembela, Ivona Kamuntu, mzee list itaendelea hadi uchoke, ulikuwa huna lolote zaidi ya chuki za kidini tu
 
Hili ni tatizo la muda mrefu la Azam TV, hawana mabingwa wa promotion , huwezi kujua mechi inayochezwa hadi uingie kwenye channel ya soka , kwa mfano hakuna matangazo yoyote kwenye channel zao yanayoonyesha kwamba kuna ligi ya ufaransa , wala haijulikani game gani inaonyeshwa na channel fulani.

Wako duni mno kwenye eneo hili na wanaachwa nyuma kabisa na DSTV ambao hata channel ya sinema inakueleza gemu gani iko channel gani tarehe ngapi , yaani hawa Azam wanataka tuotee tu , wale wanaoangalia sinema zetu wala hakuna tangazo lolote linaloonyesha kama channel fulani inaonyesha game fulani ! wala hata mkanda unaotembea kama wafanyavyo super sports , haya ni maajabu ! na ni aibu kwa wahusika.

Biashara yoyote ni matangazo , Kwani kuna ugumu gani kutembeza hata mkanda wa maandishi kwenye kila channel yenu kuonyesha mechi fulani itachezwa tarehe fulani na itaonyeshwa kwenye channel fulani?

Kwa mfano, unaweka mechi kisirisiri kwenye ZBC2 huku ukijua hiyo ni channel ya misikiti unadhani ni nani atajua kuna gemu huko ? Kama lengo lenu ni kutufanya tuangalie hizo mechi basi ni lazima mtutangazie Mechi gani iko channel gani na ni saa ngapi , iwe EPL , BUNDESLIGA, CARABAO, NBC, YA KIRAFIKI AU YOYOTE.

Acheni kuzifanya mechi za soka kuwa siri yenu.
We kenge kumbe mambo ya dini uliyaanza mwenyewe acha yakurudie
 
Bila kutaja channel ya msikiti ujumbe wako usingefika? Ulishaelezwa uhai tv wanarusha hicho unachokitaka wewe, pia uzi wako ulipaswa kushauri kabla hujafika huko kutoa shutuma, ungeona hujasikilizwa ndio ungeshutumu
Wapi nimeshutumu ?
 
Back
Top Bottom