Azam TV Imefeli kwenye kujitangaza, haijulikani mechi inazoonyesha hadi ubahatishe, walio kitengo cha Promotion wang'olewe

Hili tatizo lingeisha kwa kuweka program ya mteja kutafuta ratiba mwenyewe. DSTV ukiweka channel 220 ukabonyeza OK inakupa option ya kutafuta unachokitaka kitaoneshwa wapi na muda gani?

Kwa AZAM TV sijaona program hiyo labda kama ipo anayejua anijulishe. Wakiweza kuweka hilo itakuwa rahisi sana, unachukua remote asubuhi unasearch ratiba unakuwa unajua mechi fulani itakuwa saa ngapi muda Fulani maana DSTV wameweka mpaka option ya "Reminder", ukitaka kuangangalia kipindi Fulani cha muda wa baadaye unabonyeza reminder muda ukifika decorder inaswitch yenyewe kwenye channel yenye kipindi unachotaka.
Nadhani tatizo ni operating system ambayo inatumiwa na azamtv haipo unfit kwa kuweka vikorombwezo vingi.

Ile os wanatumia dstv nadhani ni ubuntu au linux ipo vizuri sana, unaweza ibebesha mzigo mkubwa na ikawa imara.

Azamtv nadhani waachane na wachina na hizo booting system zao ambazo ndani ya dakika 1 inakuwa tayari iko loaded.
 
Ana maana Azam anaajiri kwa kuangalia imani yako ya dini. Kwa hiyo anaweza kuacha mwenye ueledi kisa tu sio wa dini yake akamuajiri asio na euledi wa dini yake.
Kuna ukweli kwenye hilo ?
 
Hayo ni mawazo yako na nakuonea huruma sana kama mwaka 2021 unaingia na hizo perceptions za Victim wa imani.

Like ndugu, seriously dini ni kitu cha kujifunza tena ni foreign imagine unaamini unabaguliwa katika jamii iliyochangamana kiasi hiki that is Grade A nonsense and total wastage of your brain power and energy to think that way.

Dude i was literally on about race, mimi nilikuwa naongelea uzanzibari na utanganyika hapa kama ulinotice.

Ukienda katika kampuni za bakhressa ni wapemba wamejaa and wakikosa wenzao kuwapa shavu wanavaa kofia ya imani na kuanza kuchagua wabongo wenye imani moja nao.

Sasa kama haujanotice hebu nenda katika viwanda, team ya mpira na media chunguza utaona kama utakuja na akili hiyo hiyo.


Anyways acha kupenda kutumia dini kama identity yako, identity yako hapa duniani ni uafrika yaani mtu mweusi. Kama unabisha nenda hapo Saudi Arabia, iran, Urusi, Uingereza au taifa lolote halafu uone ubaguzi ukikuvaa utatafuta identity gani kujihifadhi kama haujatafuta watu weusi wenzako.

Dini izi just a mentality. Wewe kama kweli ni muislamu na umeshika dini yako nikikuhoji matendo yako yanayo kuidentify kama Muslim utashangaa kutambua kuwa ni kanzu, kofia , msaafu baasi ndizo alama zako ila tabia ni zero kuidentify kama Muslim ila nikikuuliza ngozi tu hapo na culture utajua wewe ni mwafrika. Hivi ukipatwa na condition ya permanent amnesia yaani ukapoteza full memory ya maisha yako unadhani utakumbuka kuwa ulishawahi kuwa muislamu?! No hautakumbuka sababu imekuwa implanted katika kichwa chako tokea utotoni kuwa wewe ni wa imani fulani ila race yako ni mwafrika,the first thing ukipoteza kumbukumbu ukiamka utaona ngozi nyeusi that moment utajua identity yako sababu ya watu unaofanana nao ngozi na kushare muonekano.

So don't bring me hizi story za uislamu sijui ukristo that is your personal business hakuna hiyo identity its your personal choice in this life kufuata imani fulani ndio maana sote tunaexist na tunapata baraka sawa sawa.

Ila race yako ndio inaamua unafiti wapi kwenye hii dunia leo kama unabisha test utanielewa.

DINI SIO IDENTITY YAKO ni personal thing and ndio maana huwezi lazimisha mtu kufuata dini fulani au kuamini nini.

So hebu kajielimishe before haujaongea this crap kwa mtu mwingine.
You've said it all man!
 
Back
Top Bottom