ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,345
- 2,953
Hapa TFF ndio anatakiwa achukue hatua kwa sababu tayari walishaingia mkataba kwa mechi zote za VPL arushe Azam, hapa atakuwa amekiuka makubaliano.Kweli kabisa Shark, leo nimewahi kurudi home nicheki hata gemu moja ya Vpl lakini channel zote hola.
Ligi kubwa zote Laliga, Epl na Seria A zimesimama, hvyo hii ilipaswa kuwa kete muhimu kwa Azam Sports kuuza na kuzipa promo hizi mechi maana wapenzi wa soka hatuna cha kuangalia weekend hii zaidi ya ligi yetu tu!!!
Angalau hata gemu mbili tu zenye utamu mngerusha Lipuli vs Kagera na Mtibwa vs Biashara
Hovyo kabisa...!!
TFF tuone lile rungu lenu litaishia kwenye vilabu na viongozi au hadi kwa AZAM TV
Sent using Jamii Forums mobile app