AZAM TV Hiki mlichofanya leo ni Wizi na Utapeli "Live"

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,423
29,084
Kwema Wakuu,

Azam TV ndio king'amuzi pekee kwa tanzania wenye Hakimiliki ya Kuonyesha moja kwa moja Mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara, maarufu kama VODACOM PREMIER LEAGUE.

Leo Hii Jumamosi tarehe 14th March 2020 kuna mechi kadhaa za ligi zinachezwa kama vile Polisi V/s Ndanda, Mtibwa Sugar v/s Biashara United, Lipuli FC v/s Kagera Sugar na Singisa United v/s Mbeya City.

Katika Mechi hizi zote nne, hakuna mechi hata moja inayoonyeshwa na hawa Azam kwa Channel yao yoyote ile. Huu ni wizi sababu kwa wiki nzima hii wamekua wakitutangazia kua wataonyesha hizi mechi.

Huu ni wizi na Utapeli wa wazi kabisa. Leo jumamosi hakuna chanel yoyote ya Azam inayoonyesha ligi hii na hakuna tukio lolote la kuleta udhuru labda mechi hizi za VPL zisionyeshwe. Mkianza tabia hii mkaizoea soon tutawakimbia.
 
Endapo Simba & Yanga zisingekuwepo; basi king'amuzi cha azam kingekuwa kama kile cha Ting HD.
Simba na Yanga wakiwa makini na kuacha uswahili wanaweza kujiendesha kupitia mapato yanayotokana na king'amuzi hicho.
Fikiria endapo mechi za timu hizo zisingekuwa zinaoneshwa, Je, wangeweza kuviuza na watu kulipia kama ilivyo sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa Shark, leo nimewahi kurudi home nicheki hata gemu moja ya Vpl lakini channel zote hola.

Ligi kubwa zote Laliga, Epl na Seria A zimesimama, hvyo hii ilipaswa kuwa kete muhimu kwa Azam Sports kuuza na kuzipa promo hizi mechi maana wapenzi wa soka hatuna cha kuangalia weekend hii zaidi ya ligi yetu tu!!!

Angalau hata gemu mbili tu zenye utamu mngerusha Lipuli vs Kagera na Mtibwa vs Biashara

Hovyo kabisa...!!
 
Kwema Wakuu,

Azam TV ndio king'amuzi pekee kwa tanzania wenye Hakimiliki ya Kuonyesha moja kwa moja Mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara, maarufu kama VODACOM PREMIER LEAGUE.

Leo Hii Jumamosi tarehe 14th March 2020 kuna mechi kadhaa za ligi zinachezwa kama vile Polisi V/s Ndanda, Mtibwa Sugar v/s Biashara United, Lipuli FC v/s Kagera Sugar na Singisa United v/s Mbeya City.

Katika Mechi hizi zote nne, hakuna mechi hata moja inayoonyeshwa na hawa Azam kwa Channel yao yoyote ile. Huu ni wizi sababu kwa wiki nzima hii wamekua wakitutangazia kua wataonyesha hizi mechi.

Huu ni wizi na Utapeli wa wazi kabisa. Leo jumamosi hakuna chanel yoyote ya Azam inayoonyesha ligi hii na hakuna tukio lolote la kuleta udhuru labda mechi hizi za VPL zisionyeshwe. Mkianza tabia hii mkaizoea soon tutawakimbia.
hujui kama kuna Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujui kama kuna Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona Bongo??
Mbona Ligi imechezwa sasa??
1584205964748.png
 
Endapo Simba & Yanga zisingekuwepo; basi king'amuzi cha azam kingekuwa kama kile cha Ting HD.
Simba na Yanga wakiwa makini na kuacha uswahili wanaweza kujiendesha kupitia mapato yanayotokana na king'amuzi hicho.
Fikiria endapo mechi za timu hizo zisingekuwa zinaoneshwa, Je, wangeweza kuviuza na watu kulipia kama ilivyo sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi timu zisingekuwepo basi hata hakuna angehangaika na Azam
 
Endapo Simba & Yanga zisingekuwepo; basi king'amuzi cha azam kingekuwa kama kile cha Ting HD.
Simba na Yanga wakiwa makini na kuacha uswahili wanaweza kujiendesha kupitia mapato yanayotokana na king'amuzi hicho.
Fikiria endapo mechi za timu hizo zisingekuwa zinaoneshwa, Je, wangeweza kuviuza na watu kulipia kama ilivyo sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unachosema sio kweli azamu tv soko lao kubwa liko kwa wanawake na zile tamthilia nakumbuka waang aliaji wakubwa wa tv ni wanawake na wamewakamata tayar kwa hiyo usijimwambifai na mpira wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom