BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,671
Habari wanaJF.
Ni imani yangu kubwa pia humu wamo watumiaji wa king'amuzi cha Azam sasa kitu kilicho nipelekea kufungua uzi huu ni ile kero kwenye king'amuzi hicho kuwa na chaneli nyingi zisizo na mantiki unakuta kuna chaneli kibao zimejazana sijui za malawi, Burundi, Rwanda n.k nasema hazina mantiki kwasababu mara nyingi katika chaneli hizo hata lugha zinazotumiwa hazieleweki sio kiswahili wala kingereza.
Kama king'amuzi cha Azam kinatoa pia huduma zake huko kwenye hizo nchi ni bora wangeweka vifurushi vyao special vyenye chaneli zao kuliko mtu kulipia kifurushi unakuta michaneli mingi imejazana ambayo haieleweki.
Au wadau mnasemaje.
Ni imani yangu kubwa pia humu wamo watumiaji wa king'amuzi cha Azam sasa kitu kilicho nipelekea kufungua uzi huu ni ile kero kwenye king'amuzi hicho kuwa na chaneli nyingi zisizo na mantiki unakuta kuna chaneli kibao zimejazana sijui za malawi, Burundi, Rwanda n.k nasema hazina mantiki kwasababu mara nyingi katika chaneli hizo hata lugha zinazotumiwa hazieleweki sio kiswahili wala kingereza.
Kama king'amuzi cha Azam kinatoa pia huduma zake huko kwenye hizo nchi ni bora wangeweka vifurushi vyao special vyenye chaneli zao kuliko mtu kulipia kifurushi unakuta michaneli mingi imejazana ambayo haieleweki.
Au wadau mnasemaje.