Azam decoder chaneli nyingi zisizo na maana

Azam decoder chaneli nyingi zisizo na maana

Hivi dstv package ya 19000 naweza pata channel ngapi za movie Kali kali? Napenda sana movies. Hawa azam nabakisha kwa ajili ya vpl na laliga kwisha.
 
Duh haya maisha bana ....mimi nataka niwahame dstv kwa sbb kifurushi cha 19k wamejaza chaneli za hvyo tu angalau nije huko azam kumbe na kwenyewe majanga
 
Kwenye All Channels kuna:
ZBC
ZBC 2
TV E
ITV
EATV
CAPITAL TV
WASAFI TV
MAHAASIN TV
TV IMAAN
UPENDO TV
HOPE CHANNEL TANZANIA
U TV
AZAM ONE
AZAM TWO
SINEMA ZETU
AZAM SPORTS HD
AZAM SPORTS 2
ESPN 1&2
MTV BASE
TRACE MZIKI
NAT GEO
NAT GEO WILD
HISTORY
DISCOVERY SCIENCE
DISCOVERY IDX
SAFARI CHANNEL
TBC1
FINE LIVING
NICKELODEON
BABY TV
BBC WORLD NEWS
FOX NEWS
BLOOMBERG
KTN NEWS
FRANCE 24
ALJAZEERA NEWS

NK

We mleta uzi kuwa fair channel nzuri ni zipi ambazo hazimo Azam decoder.

Azam ndio king'amuzi cha nyumbani pekee chenye ubora na bei chee. Tuwe na mapenzi na vyetu.

Binafsi natazama azam najenga uchumi wa nchi kwa kuchangia kampuni ya kizawa. Wale wa SA wako expensive unnecessarily EPL naangalia na wana Bar.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Azam is better off than hao.
 
Azam walikuwa na marekebisho ya signal.kwa iyo kama kuna station zimekata basi muite fundi aseti tena dish.walishatangaz mbona kuwa watafanya marekebisho kuondoa kero ya mvua.
 
Bado mko huko azam tv? Sisi wajanja tulishaondoka huko.

Azam wanabebwa na ligi ya vodacom tu lakini hawana kitu kingine cha kujivunia
 
Azam wako poa tu.
Nijuavyo huwezi kupata kila kitu mia kwa mia.
Kuna channel humo hutuzipendi lakini kuna wateja wengine wanazifurahia.
Laliga na Vpl ndiyo sababu namba moja inayokula hela yangu.
Ushauri kwa Azam, wekeni channel itakayoonyesha mieleka mubashara ili tuendelee kufurahia kisumbusi chenu.
 
Azam kiukweli wameshindwa kutuletea channel bora za nje, eg France, US, UK, badala yake wanatuletea channel kibao cha kihindi, Burundi, Rwanda, Uganda, Channel kibao za kiislam, yaani zinakera sana.. Kuna channels nzuri sana za nje za kila aina, michezo, entertainment, etc, ila hakuna..
 
Acha kulia lia hela yako mwenyew af wanakutesa njoo DStv boss utafurah mwenyew wapo full package kila unachotaka unakipata ww tu na hela yako
 
Yan wana Chanel zingine za ajabu cjui wanazikuta wp kama ile bukene tv hata lugha wanayo 2mia wanaijua mwenyewe azamtv ndio maana Mimi Nina mwakacjawai lipia
 
Kuna michannel ya kihindi kibao...pia kuna channel za uganda sijui malawi lugha hazieleweki kabisa..akina Bukede
 
Back
Top Bottom