Ayesha Curry: Kwanini sitongozwi?

Bado muda anao mwingi Sana"... Atavuka hiyo stage
Hapana mkuu, Sema Curry kama ataendelea kuwa kwenye peak kwa misimu kadhaa ijayo ndio anaweza kuwa na hizo sifa.
Mj amekuwa MVP mara karibu mara 6, Curry ni mara 2 kaa sikosei. Mj anatuzo ya defensive player, Curry hana. Sasa ukiona mtu anayefunga na kudefence maana yake anaibeba timu sana tofauti na Curry yeye si mzuri katika defence japo kwa three points scoring kamzidi MJ.
 
Naulimwengu huu wa technology " unadhani kuwa hilo naweza kulifanya .... jana tu nimetoka kukesha YouTube..macho yangu yaka nidhihirishia Kuwait curry ni shida nyingine
Kwenye hii michezo uzuri wake Takwimu ndio zinaongea,Steph hajafika hiyo level hajitahid amfikie Kobe kwanza ndio umpeleke kwa MJ na Magic
 
Great " Analysis ...watu wanaficha kuongea ukweli tu ..curry ni mtu hatari sana " yaani kwanza hata uchezaji wake unavutia machoni ana kasi na skills za hatari sana " kama hajawekwa kwenye list ya manguli wa huo mchezo basi itakuwa anafanyiwa figisu tu ..ni sawa na jinsi tunavyoona hary kane akipewa heshima ndogo epl wakati uwezo alionao kama striker ni mkubwa mno
Curry didn't want KD to win, KD joined Curry to win.. Curry proved on Friday hamuitaji KD kuchukua ring..

Curry is very debatable among 5 greatest to ever play it sema tu sio selfish kama other basketball players..
 
Again let me repeat one more time Mkuu. Curry is not in the same class as MJ and that’s why even today a huge percentage of Basketball 🏀 players, analysts and fans will pick MJ as the best player ever. Curry is not even among the top ten basketball players in NBA.
MJ was playing with plumbers man, Lebron is better than him..

Na ni matatizo ya akili kusema Curry is not even on top 10. He already locked best PG or tied it with Magic Johnson.

First ever unanimous MVP eti asiwe on top 10? Sasa KD kaumia subiri muone ule moto wa 2014-17 unavyorudi..
 
31 years anachipukia?? Maaaan naona ndo wajifunza about NBA
Uwe muelewa -- naamanisha kwenye ubora wake " .... basketball sio kama football ni nadra kwa kijana wa miaka 22 kuwa hot anapokuwa kwenye umri huo.... pia mchezaji anaweza kutamba mpaka akiwa na miaka 35
 
MJ was playing with plumbers man, Lebron is better than him..

Na ni matatizo ya akili kusema Curry is not even on top 10. He already locked best PG or tied it with Magic Johnson.

First ever unanimous MVP eti asiwe on top 10? Sasa KD kaumia subiri muone ule moto wa 2014-17 unavyorudi..
Hahahaa ..afadhali " Umekuja
 
Curry didn't want KD to win, KD joined Curry to win.. Curry proved on Friday hamuitaji KD kuchukua ring..

Curry is very debatable among 5 greatest to ever play it sema tu sio selfish kama other basketball players..
Waambie aise " Jamaa ni mchawi wa skills yule " ...
 
Hahahahahaha eti Lary Bird is better than Kobe.. Huyo ni mchambuzi kama sisi tunavyochambua tu..

Alafu hao mijitu ya zamani yalikuwa yanachezea na mijitu isiyojua. Eti mtu ana average Point 50 per game na Rebound 30 kwa season kama sio utahira nini?

Hiyo mijitu ya karne ilikuwa inacheza less professional basketball na vipaji havikuwa vingi kama sasa. Chukulia team kama Celtics na Lakers walidominate karibia muongo mitatu mfululizo wanabadilishana tu. Celtics alichukua 9 straight championships, acheni kuovarate.

LeBron is first, MJ second and Curry when it's said and done is top 5 locked.
 
Kuna watu hapa kumbe mnaangalia mpira wa mikono! Tuko tofauti sana duniani.
Mkuu acha masihara, mimi ni shabiki mkubwa wa GSW team, na mchezaji ninayemkubali NBA nziima kwa sasa ni Curry, ila hauwezi kumfananisha na Jordan hata kidogo, utakuwa umemtukana MJ, usimfananishe na hawa watoto wa siku hizi.
Heshima yake ilindwe.
 
kwa mpande wa michezo, napenda sana Football ikifuatiwa na Basketball.
Hivi saizi kwa football timu yangu iliishatolewa UEFA kitambo na uhakika wa kuingia big 4 EPL ndio vile tena, so najifariji upande wa Basketball.
Kuna watu hapa kumbe mnaangalia mpira wa mikono! Tuko tofauti sana duniani.
 
View attachment 1094423
Ayesha akiwa na mume wake Steph

Mke wa mchezaji mahiri na wa Basketball,; Steph Curry, katika mahojiano na chombo kimoja cha habari amedai kwamba anashangaa na wakati mwingine anasikitika kwanini tangu ameolewa na mumewe hajawahi kutongozwa na mwanaume yoyote mwingine, anasema jambo hilo linamsikitisha na anahisi kuna tatizo.

Nini maoni yenu wadau?
Hivi mwanadamu anatakaje?
 
Mpe muda " kumbuka hapa tuna m-compare mtu ambaye ndio kwanza anachipukia dhidi ya watu waliocheza mpaka stahafu "
Ndio hapo tunasema subiri acheze seasons za kutosha, mwishoni mwa carrier ndio tufanye comparison, sio saizi.

Ni sawa na moto alioonesha M.Salah kwenye football msimu mmoja nyuma, watu wakamuweka level moja na kina CR7 na Messi, wakati hata kwa Hazard tu hajafika, leo hii kawa wa kawaida tu.

Curry naye muda bado, bado hana muda mrefu. Akiendeleza huu moto kwa misimu kadhaa mbele, yes, dunia nzima hakuna atakayebisha kuwa He's the best.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom