Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
sisi watanzania tumekuwa tukilia lia kuwa wakenya wanatudhulumu vitu vingi sana kama vile mlima kilimanjaro, madini ya tanzanite na kadhalika, lakini leo nimeshangaa baada ya kumuona AY amevaa kofia yenye bendera ya kenya katika video ya nyimbo ya IZZO bizness iitwayo miss bizness, hii imekaaje? naona kama vile anawatangaza wakenya tuu badala ya kujivunia Utanzania wake