Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
AY kamua kurudi shule kusoma international business.....ni jambo zuri lakini mhh chuo alichoamua kuchukulia nondo mbona kama utata.....sijui labda wana JF mna uhakika na hiki chuo.....
http://www.learnit.co.tz/ .........
Ina maana msanii mkubwa kama ay hakupata watu wa kumshauri juu ya chuo kama hiki? nimeangalia wanatoa bachelor degree ya mwaka mmoja.....hii ni mpya kwangu.....
Source: http://djchoka.blogspot.com/2009/08/elimu-haina-mwisho-nimerudi-shule.html
http://www.learnit.co.tz/ .........
Ina maana msanii mkubwa kama ay hakupata watu wa kumshauri juu ya chuo kama hiki? nimeangalia wanatoa bachelor degree ya mwaka mmoja.....hii ni mpya kwangu.....
Source: http://djchoka.blogspot.com/2009/08/elimu-haina-mwisho-nimerudi-shule.html
Last edited: