Coping Strategy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 439
- 384
Pete mgahawani.
Kubwagana na kurudiana mwisho mnaambulia maradhi mke Jay kaachwa miaka zaidi ya mi5 mpk kurudiana na kufunga ndoa!Hayo ndo mapenzi,wanajuana wamekubaliana,kuachana hao saiv ni Marachache sana.
Cyo siku mbili nikuoe af kesho unaleta mambo mengiiiii na visingizio visivyo na mipaka.
Hongeren sana wadada mjifunze,kwa wenzenu.
Kama mke profesa na mke Wa Ay wamewavumilia sana waume zao.
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Huwezi just maisha ya watu pengine walipanga wasizae Kwanza,acheni kupangia watu maishaHivi unawezaje kuishi na mwanamke chini ya dari moja kwa miaka nane halafu hata tumbo haliumuki?
Hawa watu waende kwa Mwingira wakapate maombi, huenda kuna shida kwenye mfumo wa uzazi...
Chura ya nini na wewe banaIla hana chura
Aah wapi!!!Mmmh wewe umeelewa hapa!?
Ni upuuzi!Kumvisha pete mtu uliyeishi naye miaka nane ni comedy au ulimbukeni?
Sent from my Kimulimuli
Chura Ni kitu gani jamaniChura ya nini na wewe bana
Mbona kuna mdau hapo juu kasema wana mtoto yupo standard oneHawa jamaa watakuwa wagumba, miaka minane ya kubanduana hawajatiana mimba. There's a problem
Tuna ita uchumba suguSasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...