issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,137
Uzinzi sasa umehalalishwa
Mdada mrembo .. Wanaendana
mkuu mwalim wako wa hesabu akiona ulichoandika atasikitika mno
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Unaelewa na unajiuliza kwa haki.Sasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...
Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.
Ilikuwa hivi:
Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.
Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.
Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
Hiyo miaka 3 grace period?? Naomba niwekeze hapo aisei..mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Wakawida sana macho yako tuhahaaaaa eti hajui mwisho wenu
Mchumba wa Ay ni mcute jamani......
Kie kie Kie Kie Kie!!!upuuzi mtupu. miaka 8 wanabanduana tu. huyo mwanamke ana moyo kudumu kwenye huo uchumba sugu
Sio kufunga ndoa hapo nikubariki ndoa tu basi maisha yaendeleeni kweli kabisa miaka nanne pete ya uchumba ya nini wangefunga tu mdoa
Gaaaaa mutu.