AY amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy aliyeishi nae kwa miaka nane

Sasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...
Ni ujinga tu.
Na ulimbukeni tulionao.
Kwamba na yeye alipitia formal way za uchumba na ndoa.
Hongera kwa muoaji lakini.

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.

Ilikuwa hivi:

Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.

Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.

Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
Lovly

Sent from my HTC Desire 620 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi ni mwendo wa Kimarekanimarekani.......Anyway,hongereni sana.

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.

Ilikuwa hivi:

Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.

Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.

Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
Naomba kuuliza kuhusu hili swala la wanaume kupiga magoti wanapo wavisha wapenzi wao pete za uchumba.Maana hii nikama mala ya pili au ya tatu kushuhudia hili swala sasa naomba kujua je? ni ndo destuli ya pete za uchumba .Au pete ya uchumba inaitaji unyenyekevu kiasi hicho ukilinganisha na pete ya Ndoa huwa sioni vitu kama hizi.
 
Miaka 8 bado anamuita mchumba tu?

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
_20170714_215827.JPG


May Allah bless Me and You
 
Eti booking lol! Kuna watu wanafanya booking hadi first born anaingia chuo kikuu!!

Sent from my STUDIO SELFIE using JamiiForums mobile app
Mimi wng kasubiria miaka 6 na posa sijatoa bdo ila nxtyea ntamaliza kanisani

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom