Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,436
- 25,578
Hakika mkuu...Safi sana nimepata Precedent, sasa hivi akiuliza tu unampa mifano hai miwili, Prof Jay miaka 13, AY miaka nane.
Hakika mkuu...Safi sana nimepata Precedent, sasa hivi akiuliza tu unampa mifano hai miwili, Prof Jay miaka 13, AY miaka nane.
Ni ujinga tu.Sasa kama amesha ishi naye miaka 8 pete ya uchumba ya nini,hapo kinachotakiwa ni kuoa tu hiyo stage ya pete ya uchumba wameshaivuka tayari,au mie ndio sielewi...
LovlyHakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.
Ilikuwa hivi:
Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.
Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.
Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
,mbavu zangu mie!!!uchumba sugu!!!hakyanani hii kiboko.upuuzi mtupu. miaka 8 wanabanduana tu. huyo mwanamke ana moyo kudumu kwenye huo uchumba sugu
Mmmh wewe umeelewa hapa!?Kinachotuangusha Wendi no negativity watanzania hutupendi mafanikioya watu Texans comment za wengi obviously ni single wsio na future
Naomba kuuliza kuhusu hili swala la wanaume kupiga magoti wanapo wavisha wapenzi wao pete za uchumba.Maana hii nikama mala ya pili au ya tatu kushuhudia hili swala sasa naomba kujua je? ni ndo destuli ya pete za uchumba .Au pete ya uchumba inaitaji unyenyekevu kiasi hicho ukilinganisha na pete ya Ndoa huwa sioni vitu kama hizi.Hakuna kusubiri tena! Ay amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake remy aliyeishi nae kwa miaka nane.
Ilikuwa hivi:
Walikuwa wametoka Dinner, walikuwa na washkaji wao wengine mara ghafla mzee wa Ankara akapiga goti, na hakusubiri tena ageuka akatoa pete na kumvisha Remy.
Hii ni baada ya siku chache rafiki yake Professor Jay kumkana Mwana Fa kwamba asubiri subiri kwanza, na kuvuta jiko saafi.
Wote mtaaamini sawa kwamba jamaa kawa Inspired na ndoa ya Mbunge wa mikumi.
View attachment 541920
View attachment 541921
Mabint zetu tayari wameumia hapoRoli modo wetu...
typing error mzee sim zetu hiz za techno na dictionary zakeMmmh wewe umeelewa hapa!?
umejumlisha na hiyo ya baada ya pete............?.......
Mimi wng kasubiria miaka 6 na posa sijatoa bdo ila nxtyea ntamaliza kanisaniEti booking lol! Kuna watu wanafanya booking hadi first born anaingia chuo kikuu!!
Sent from my STUDIO SELFIE using JamiiForums mobile app
Iknow the lady personally..naumia sana anyways nawatakia Maisha mwema my half rwandan half Arabic Rehema...
Mimi natafuta mwaka wa saba still bado nina mingine kama mitano mbele
Ni mnyarwanda au msomali?Iknow the lady personally..naumia sana anyways nawatakia Maisha mwema my half rwandan half Arabic Rehema...