Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,062
- 3,620
W
Nakumbuka ule wimbo wake kuhusu ajali pale Ntokela
Pia wa yule dada anayetaka auze pombe kwenye hivi ''vilabu vya pombe ya kufinyanga'',Awilo ni chiboko nimeipenda sana album hii ilinibidi niinunue na si kunyonya ili nimwinue gwa kumyitu,ni kama Makilikili vile na sauti ya jamaa ni kama sauti ya Simba aliae nyikani.Mimi ninayo lakini naona nitakuwa simtendei haki Awilo nikiitoa bure ,tujaribu kuchangia wasanii wetu kama vile tunavyochangia TBL,SBL,TCC,Kwanza,Bonite,SBC n.k