Mkurupukaji tu yule. Alikuwa hana cha maana anachofanya. Hao akina Majaliwa walikuwepo na wezi wengine kibao akina Makondamarehemu POMBE alikuwa anapigwa daily na wajanja aisee nashangaa ule ubabe wake wote lkn bado wahuni wa mjini wamepiga hela ndefu Sana hakika wezi WA nchi hii wanatisha
Acha kupotosha wewe,
Ukweli ni kwamba huyo marehemu ndiye alikuwa anapiga. Ubabe wake ulikuwa ni zuga tu na uhuni wake. Marehemu amepiga hela ndefu Sana mfano alitumia 1.2 trillion kununua ndege by cash ambapo alilipwa 10% ya hiyo hela ,unafikiri ni sh ngapi?
Yeye alikuwa ni mwizi Namba 1 wa nchi hii.
Usijifanye hujui wakati unajua acha kudemka.
Rais hawezi kusimamia kila kitu, mpaka pen maofisi au sindano mahospitali. Mh. Spika juzi kasema, vijana wa kitanzania bila kuiba hawana raha moyoni, mradi huu, unafilisiwa na watu walioaminiwa na wala sio tax holiday au uwekezaji.
Kumbuka bado kuna mabasi 100 yanazurula mitaani, lakini mapato yake yanaishia mifukoni kwa wale wanaojiita watoto wa mjini.
Wazalendo wa magufuli kila mahali wameiba. Sisi wasaliti wa mabeberu tunacheka tuš šangekuwa mpigaji kwa miaka aliyokaa wizara ya ujenzi angekuwa tajiri kuliko bakhresa au mo
kusema kwa msisitizo, kwa hasira kwa namna yeyite hakumfanyi yeye kuwa mpigaji
wizara inayopitisha hela nyingi TZ ni ujenzi na unayemsema anafanyia nini??
acha uongo wa kukupa faraja, wewe bado maskini na jikwamue, usitafute visingizioš¤£š¤£š¤£
Of course kama Lugumi. Na hawa wote hawapo jela sijui ni kulindana au ni nini?Kama Lugumi au siyo?
Au kwa vile hakukata mpunga!
Ili twende vema tujikumbushe ulipoanza mgogolo na tuone mchango wa Serikali hapa:Uache siasa za changa la macho, Serikali ya JPM ndiyo imeua utendaji wa UDART.
Barabara za UDART kweli ni mali ya serikali lakini mradi wa mabasi mwendo kasi ulikuwa toka mwanzo ni mradi binafsi (private investment) uliowekezwa na mtanzania, Nd Kisenha.
Serikali ilifanya kila njia kumnyima pumzi mwekezaji huyu wa UDART. Alipoagiza mabasi alinyimwa katakata kuyatoa bandarini mpaka hela yote ipatikane kulipa kodi.
Huku ni kukosa ushirikiano kwa muwekezaji, ambapo wale wa kigeni hupewa Tax Holiday au Mkataba maalum kwa malipo ya kodi kubwa.
Hii ingewezesha huduma iendelee, biashara iendelee na kodi ilipwe. Hili ni kosa, maana serikali haikuwa na msaada wowote kwa muwekezaji.
Pili, tunasikia tetesi kuwa sasa UDART ni mali ya Serikali maana baada ya Nd Kusenha kufunguliwa madai ya Uhujumu uchumi, kwawaida ya modus operadi ya Awamu ya 5kwa wafanyabiashara, serikali imejimilikisha uendeshaji.
Serikali zote toka Awamu ya kwanza hadi nafikiri Mwinyi (miaka zaidi ya33) mfupa wa DMT (Dra es Salaam Motor Transport) na UDA (Usafiri Dar es Salaam), ziliwashinda.
Sasa sijui Awamu ya 5 ndio wangeweza Kuendesha UDART?
Mbaya zaidi serikali inaua moyo wa wazalendo kuingia miradi mikubwa kiuwekezaji, kinyume cha wanachoongea majukwaani. Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa kwa UDART kweli sioni mantiki yake zaidi ya kusema Serikali imachukua na kuanza mradi huu on a false start.
Sana sana ni kujikosha kwa wananchi kwa failures za serikali yenyewe, kusaidia wazalendo kuwekeza nchini mwao.
Sasa si alikuwa wakuja! Wajanja lazima wamzidi ketemarehemu POMBE alikuwa anapigwa daily na wajanja aisee nashangaa ule ubabe wake wote lkn bado wahuni wa mjini wamepiga hela ndefu Sana hakika wezi WA nchi hii wanatisha
Kosa kubwa walilofanya ni kutimia mabasi ya kichina, hayana uimara japo yanauzwa kwa bei nafuumarehemu POMBE alikuwa anapigwa daily na wajanja aisee nashangaa ule ubabe wake wote lkn bado wahuni wa mjini wamepiga hela ndefu Sana hakika wezi WA nchi hii wanatisha
Kuna watu wanajua unaloga kwanza ndio unamshauri naye anaitikia tu du!marehemu POMBE alikuwa anapigwa daily na wajanja aisee nashangaa ule ubabe wake wote lkn bado wahuni wa mjini wamepiga hela ndefu Sana hakika wezi WA nchi hii wanatisha
Huwezi kukomaa kujiimalisha mtu binafsi, badala ya kuimalisha mifumo!utapigwa tu!china/korea kask, watu wanapiga na kuna sheria ya kunyongwa sembuse hapa ambapo kuna pre bargaining!!yeye alidhania kuwa kuzibiti habari ndio soln!!eti hata watu wakapiga wananchi wasijue?!!wakati anaingia madarakani dart ilikuwa inaenda vizuri, akaja akawapiga chini wale selcom waliokuwa wanakatisha tiketi kwa mfumo wa electronic, akawapa tenda ttcl, wakaanza za vishina!!jana anakuja vp kama vile anashangaaa alikuwa hajui!!??pesa hizo zinazopatikana zinakwenda hazina kurudi ni tabu hayo mabasi yatatengenezwa na nini??marehemu POMBE alikuwa anapigwa daily na wajanja aisee nashangaa ule ubabe wake wote lkn bado wahuni wa mjini wamepiga hela ndefu Sana hakika wezi WA nchi hii wanatisha
Kama Simon hawakuwa kampuni inayokidhi,serikali ilitakiwa kutafuta kampuni nyingine mbadala na kuikabidhi mradi huo.Ndio umuhimu wa kusoma na kuelewa mkataba. Unapoweka tender na kaweka bei ya chini ili tu ushinde tender na kutegemea uta negisiate mbeleni, ni wewe ndio itakuja kuumia.
Simon group was a not best fit to run this company, they haven't run any public service company before and their not willing to put down a substantial investment.
Tatizo kubwa si hilo.
Tatizo ni kutaka kulazimisha serikali kufanya biashara ambazo haiwezi, pamoja na "kuwafanyizia" wafanyabiasgara wazalendo.
Ni bora hata Kisena alivyokuwa anaendesha. Je hao menejimenti iliyowekwa na serikali wamefanyaje? Umeona madudu yao jana?Wewe ukienda hospitali una tatizo linahitaji upasuaji wakikuambia atakayekupasua hana elimu na ujuzi wa upasuaji..utakubali?
Kila fani inahitaji elimu, ujuzi, maarifa na uzoefu ili angalau kuwa na uhakika wa kufanikiwa, Kisena hakuwa na uwezo kurun sekta ya usafirishaji...tuache ubabaishaji na umachinga kwny kila jambo..kifupi hakustahili!
Achana nao hawa mapandikizi ya Burundi! Roho mbaya ndo jadi yao. Wanaua watu wanaofanya vitu vizuri na kutengeneza ajira kwa mamia ya watanzania alafu wanaharibu future za vijana 814 wa jkt waliowaahidi kuwaajiri baada ya kuona hawawezi kuwaajiri. Hizi akili za mshenzi magufuli hazitakiwi kushika tena uongozi wa nchi yetu!Ni bora hata Kisena alivyokuwa anaendesha. Je hao menejimenti iliyowekwa na serikali wamefanyaje? Umeona madudu yao jana?
Hebu acheni roho mbaya zenu za kuchukua sekta binafsi. Huyo unaembeza ameacha hapo mabasi 140 yaliyokuwa yanatoa huduma na mengine mapya 70 yakiwa bandarini! Hao menejimenti ya serikali wameleta hata basi 1? Hakuna!
Hayo maneno yameshakuwa ni wimbo tu! Kama huna makosa kwa nini usijitetee? Uliwahi sikia Pesa ya Mengi imetafunwa? Pesa ya Dewji imetafunwa? Au utasema wamenyamaza au walinyamaza tu! Wanaojidai misheni tauni watafilisika.unawasaka wewe na nani.
Mtu anafanya biashara vizuri tu, akiweka benki zinatafunwa na TRA.
Akiweka nyumbani money laundering!
Roho mbaya tu ndo zinawaendesha hawa watu! Na kwa roho mbaya zao, mradi umejifiaNani yuko kwenye hiyo Kampuni sio issue .. issue ni kuhusu performance
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Kila kizazi kinapojiunga na JF kinajifanya kufundisha wengine, kumbe mambo yanaeleweka siku nyingi. Sijaelewa mtu kama Jidu La Mabambasi anawaza nini kuleta utetezi wa kitoto kiasi hiki. Is this all about his/her thinking? Kama ni urafiki na hao wezi, nalo ni jambo la kujiuliza kwamba unawezaje kuwa mtu wa bei ndogo kiasi hiki hadi kutetea wenye akili mbovu kama hao akina Kisena.Uzuri sisi wengine tupo humu JF kitambo na akili zetu ni zile zile hatuendi na upepo. Soma huu uzi na comments zake alafu umpe JPM heshima yake.
UDA Scandal Files: Part I (Revealing)
Since the story of UDA became part of public discourse, there has been a lot of confusion as to the true facts of what happened. In the process, the truth became a victim of politics. This document you see here is part of an effort to put the facts out there for the public record ahead of...www.jamiiforums.com
Ninayesoma maadishi kama haya ya kwako, moja kwa moja najua we ni bonge la layman. Yaani serikali ikuruhusu kuchezea mali ya umma kwa wizi kwa kuwa tu unalipa hiyo 50% unayodhani ni pesa nyingi sana! Kama unamiliki boda-boda hiyo ni sawa, endelea, lakini siyo mali ya serikali.Hili jambo mimi nilishindwa kabisa kulielewa, vifaa ambavyo vinaenda kusaidia wananchi serikali inagoma kabisa kuvitoa! Sasa walipata faida gani? Kodi hawajapata, wananchi huduma hawajapata. Si wangeweka special agreements, kila siku 50pc ya revenue iende kulipa kodi, how difficult was that! Watanzania hatujui ni namna gani Mungu ametuokoa na lile jitu.
Na huu ujinga wa BRT Phase 1 ndio umetunyima pesa ya Phase II na III, World Bank waligoma kutoa pesa tena. Maana hii ya kwanza tumechemka.