Kwamba tulia ni mtu wa Lindi yule😅Njia gani hiyo yenye makuti? Saizi tumepata Speaker
Inatafakarisha sana, sijui chanzo cha yote haya ni nini?Salamu kwenu.
Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.
Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.
Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.
Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.
Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.
Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.
Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.
Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇
Opportunity cost leo ndio umeona mikoa ya nyanda za juu kusini wanaletewa miradi michache na ujenzi wa magereza ya kisasa pamoja na maproject makubwa ya maparachichi bado unalalamika.Wanaleta miradi midogo midogo haina hadhi ya Rais .
kanda ya ziwa kuna kitu gani cha maana ambacho kimefanywa na awamu ya 6? unapozungumzia kanda ya ziwa hasa unaizungumzia mwanza, sasa kwa taarifa yako mwanza sio mji wa kiserikali zaidi zaidi mwanza wanavimba wenyewe na sio kuitegemea serikali ya awamu ya 6Hii ni kweli kabisa kila kitu kanda ya ziwa na kaskazini angalia Tazara ilivyotelekezwa, ukienda ofisi zake kama magofu, vyoo katika hali mbaya nadhani inatakiwa kuwe na uwiano wa miradi ya maendeleo hata kutembelewa na viongozi wakuu wa nchi kwani ndio njia nzuri ya kutatua kero za wananchi kwa usawa sio kila kitu mwanza tu
Salamu kwenu.
Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.
Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.
Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.
Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.
Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.
Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.
Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.
Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇
we the sunk cost fallacy: acha kabisa hizo mambo kaka.....yaan wewe ni bonge la chawa , umeupiga mwingi sana kwenye battle la Mwanza vs Dodoma na ulikubali kabisa kuwa dodoma ni mji wa kiserikali na ukatuonesha miradi inayoendelea mkoan kwenu sasa leo hii nashindwa kukusoma unaposema hamna chenu kwenye CCM na mfanye kitu 2025...shame on you!Hatuna chetu kwa CCM, tufanye kitu 2025
serikali za majimbo mtaiweza nyie au mnasema tu? kwa fursa gani za kiuchumi mlizonazo? mikoa iyo inapendwa kwa sababu ni mikoa yenye fursa nyingi za kiuchumi na mtaji mkubwa wa kisiasa kwakuwa ni mikoa yenye wapiga kula wengi..!! sasa kama ruvuma kuna fursa gan ambazo unaweza ukafananisha na hiyo mikoa anayopenda kutembelea MH?kwani hujui kwa nn wanapenda kwenda huko?ndo ngome za upinzani na ndo mtaji wao wamccm kupata kura kwa kuwa mikoa hiyo ina idadi kubwa ya watu pia ina watu ambao ni critics.kusini na ss tujenge ngome zetu ili kuilazimisha serikali iwekeze kwetu sababu tunachangia sana katika pato la taifa vinginevyo tuanzishe tudai serikali za majimbo.
mbeya jiji kaka we ongelea habari zingineNimekwambia wewe ni mpumbavu kumbe matusi yote kwa awamu ya tano ni kwa kuwa ulihisi haiwapendi kanda ya nyanda za juu Kusini! Nyie endeleni si mnarais wenu Sugu! Endeleeni kujenga majumbani ya tope kama yalivyojazana hapo Mbalizi! Hiyo Mbeya yenyewe utafikiri zizi la nguruwe! Hakuna mpangilio nyumba za ovyo shagarabagara!
ulaka ni pombe ya mabibo ....yaan kwa tafsir rahis ni kwamba maibibo yale matunda ya korosho ndio wanatenhenezea pombe inaitwa ULAKALugha gongana mkuu,Ulaka ndio nini?
tena jamaa aliupiga mwingi sana kwenye battle la Mwanza & Dodoma ..... sasa leo hii nashangaa analialia ...... kila mtu kaka atashinda mechi yakeKila kukicha huwa unasema nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini ina miradi mingi na uchumi mkubwa kuliko kanda ya ziwa ukadiriki kusema ata Mwanza inazidiwa na njombe sasa mbona unalia lia nini? Acha rais apeleke maendeleo kwanza sehemu za maskini huko Mwanza na mikoa ya kaskazini then atawakumbuka nyie matajiri wa njombe.
we the sunky mbona hueleweki?Ukiacha maji, shule na afya mnatakiwa msiwasubiri serikali kwa maendeleo yenu. Kaskazini wameshindwa kuwatenga kwasababu wana mchango kwa taifa na hawasubiri serikali. Arusha ni maji, elimu na afya vingine vyote ni wenyewe. Sasa mko subiri serikali iwaletee kazi na kuwajengea ni ngumu.Tatizo kubwa ni aina ya watu wa huku wanapenda uongozi kuliko maendeleo. Jiulizeni viongozi wote hao wamewasaidia nini. Jipangeni fanyeni biashara na muache tabia za ulalamishi
Hakuna anayesubiria Serikali japo ni lazima serikali I play role kubwa kutufunhilia fursa hasa kwenye miundombinu.Ukiacha maji, shule na afya mnatakiwa msiwasubiri serikali kwa maendeleo yenu. Kaskazini wameshindwa kuwatenga kwasababu wana mchango kwa taifa na hawasubiri serikali. Arusha ni maji, elimu na afya vingine vyote ni wenyewe. Sasa mko subiri serikali iwaletee kazi na kuwajengea ni ngumu.Tatizo kubwa ni aina ya watu wa huku wanapenda uongozi kuliko maendeleo. Jiulizeni viongozi wote hao wamewasaidia nini. Jipangeni fanyeni biashara na muache tabia za ulalamishi
Opportunity cost leo ndio umeona mikoa ya nyanda za juu kusini wanaletewa miradi michache na ujenzi wa magereza ya kisasa pamoja na maproject makubwa ya maparachichi bado unalalamika.Wanaleta miradi midogo midogo haina hadhi ya Rais .
Sio kaukweli ni UKWELI mtupu baada ya uhuru kwa mfano wilaya ya Rungwe na jimbo la Busokelo walichangia pato kubwa fedha za kigeni kutoka a na zao la kahawa.Na sasa chai na maprachichi lakini barbara ya lami ni ile ya malawi.Rais RIP aliahidi kujenga barbara ya lami kutoka Busokelo hadi Tky lakini wapi.Viwilaya vingine vikianzishwa miundombinu mhimu huwekwa ndani ya muda mfupiKuna kaukweli fulani juu ya uliyosema
Salamu kwenu.
Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.
Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.
Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.
Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.
Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.
Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.
Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.
Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇
View attachment 2089086Yaan mtu akifa anasingiziwa kila kitu.JPM alijenga Sana Njombe.Alijenga soko zuri.Alijenga barabara kutoka Njombe mpaka Makete.Njombe wanamkumbuka Sana JPM.Pale Ludewa alijenga barabara ya lami na zege km 50.Unasema Ruvuma aina barabara ya maana umefika lini Ruvuma.Ruvuma Barabara nyingi zina lami.Labda huyu mama Hangaya ndio hajafika huko.Lakin si JPM .
Ndugu jaribu kuandika ,ukweli.Njombe Ni sehemu ambayo JPM aliitengeneza vizuri Sana.NimekaaNjombe miaka mitano.Kuna soko kubwa zuri Sana.Walijengewa barabara ya lami kutoka Njombe mpaka Makete.Ludewa ,walijengewa barabara ya lami na zege.Jaribuni kutembea kabla hamjaandika.Wabena na wakinga wanamkumbuka Sana JPM.Labda Samia ndio hajafika huko.Kwa kiasi kikubwa, ulichoandika ni sahihi. Viongozi wa kitaifa hawaendi mikoa ya Kusini wala Nyanda za Juu Kusini kwa sababu hakuna miradi mikubwa ya maana inayoendelea huko licha ya ukweli kwamba mikoa hiyo inachangia kiasi kikubwa kwenye pato la Taifa.
Chuki za awamu ya 5 kutokana na watu wa Mbeya na Njombe kutamka wazi mwaka 2015 kuwa wasingeichagua CCM, kulimfanya marehemu kutafuta namna ya kulipiza kisasi baada ya kuwa Rais. Baada ya hapo watu wa maeneo haya wakazidi kuichukia CCM na mgombea wake wa Urais mwaka 2020.
Njombe ndiyo eneo pekee Marehemu Magufuli alilazimika kupiga magoti wakati wa kuomba kura. Kinachoendelea sasa kitazidi kuchochea mikoa hii kuzidi kuichukia CCM, na CCM ili kuendelea kuyashikilia majimbo ya maeneo haya watalazimika kuendelea kutegemea uporaji wa kura na hadaa mbalimbali, na siyo kura za wananchi.