Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Hafai hata kuwa Mwenyekiti wa Familia sembuse Ukuu wa mkoa?!!!!.Anaonekana dhahiri ni mjuaji sana.
Hafai hata kuwa Mwenyekiti wa Familia sembuse Ukuu wa mkoa?!!!!.Anaonekana dhahiri ni mjuaji sana.


Kwa ccm huyo anafaa,kiki kashapataHafai hata kuwa Mwenyekiti wa Familia sembuse Ukuu wa mkoa?!!!!.Anaonekana dhahiri ni mjuaji sana.
Chuki ni donda ndugu. Hata wachawi wanamchukia mcha MunguNi kwanini wana chuki na CCM?
Bendera ya nini sasa hivi??
Atawavuruga Sana wenzake kwasababu ya kutaka sifa.Kwa ccm huyo anafaa,kiki kashapata
Akijibu unitag Yeyoo 😁Ni kwanini wana chuki na CCM?
hajafa?Tukio ambalo limetokea leo kijiweni maeneo ya Kinyerezi kijana anayekadiriwa kuwa na miaka 23-27 amepata ajali ya kudondoka juu ya mti na kuvunjika mguu akiwa kwenye harakati ya kupandisha bendera ya Chama cha Mapinduzi.
Awali ya yote kutokana na mashahidi walioshuhudia tukio wanasema walimsihi sana asipande juu na bendera kwani mazingira ya mti wenyewe hauna hali mzuri lakini kijana alijiamini na matokeo yake akateleza.
Tumuombee kijana mwenzetu apate nafuu na apone haraka