Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Tukio ambalo limetokea leo kijiweni maeneo ya Kinyerezi kijana anayekadiriwa kuwa na miaka 23-27 amepata ajali ya kudondoka juu ya mti na kuvunjika mguu akiwa kwenye harakati ya kupandisha bendera ya Chama cha Mapinduzi.
Awali ya yote kutokana na mashahidi walioshuhudia tukio wanasema walimsihi sana asipande juu na bendera kwani mazingira ya mti wenyewe hauna hali mzuri lakini kijana alijiamini na matokeo yake akateleza.
Tumuombee kijana mwenzetu apate nafuu na apone haraka
Awali ya yote kutokana na mashahidi walioshuhudia tukio wanasema walimsihi sana asipande juu na bendera kwani mazingira ya mti wenyewe hauna hali mzuri lakini kijana alijiamini na matokeo yake akateleza.
Tumuombee kijana mwenzetu apate nafuu na apone haraka