Obamaeli Rutajecha
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 230
- 274
Wakuu,
Kama inavyojieleza hapo juu, nimefanya uchunguzi na kupekua kweli kila mwanamuziki wa kike ukanda wa Afrika mashariki na kubaini uwepo wa mwanadada kutoka Kenya mwenye mvuto wa aina yake kiasi cha kuwafunika waimbaji wenzake wote wa nchi za Afrika Mashariki.
Mwanadada huyo aliyejaliwa kila anachopaswa kuwa nacho mtoto wa kike sio mwingine bali ni Judith nyambura A.K.A Avril, huyu mwanadada hana mpinzani kabisa kwa ukanda aliopo.
NOTE: Haya sio maono yangu, huu ndio ukweli mnaotakiwa muukubadi wote iwe kwa lazima au kwa kuamua na kama utanipinga basi uje na huyo unayeamini anamfikia Avril hata kwa kulazimisha!
Nitaweka na picha pia.
Kama inavyojieleza hapo juu, nimefanya uchunguzi na kupekua kweli kila mwanamuziki wa kike ukanda wa Afrika mashariki na kubaini uwepo wa mwanadada kutoka Kenya mwenye mvuto wa aina yake kiasi cha kuwafunika waimbaji wenzake wote wa nchi za Afrika Mashariki.
Mwanadada huyo aliyejaliwa kila anachopaswa kuwa nacho mtoto wa kike sio mwingine bali ni Judith nyambura A.K.A Avril, huyu mwanadada hana mpinzani kabisa kwa ukanda aliopo.
NOTE: Haya sio maono yangu, huu ndio ukweli mnaotakiwa muukubadi wote iwe kwa lazima au kwa kuamua na kama utanipinga basi uje na huyo unayeamini anamfikia Avril hata kwa kulazimisha!
Nitaweka na picha pia.