Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,779
Ni arvil huyo dada na ndio wa kwenye video ya diamond na kipindi kile yuko na AYUmemfananisha na avril, huyu si ndo yupo na diamond kwenye video ya "kesho"
ni mzuri.....
Ni arvil huyo dada na ndio wa kwenye video ya diamond na kipindi kile yuko na AYUmemfananisha na avril, huyu si ndo yupo na diamond kwenye video ya "kesho"
ni mzuri.....
kamumunya mkuu........Hadi yule dimpoz wanayesema hapigi mechi....
Nasikia keshakula hapo? Sasa sijui kala vipi?
binamu umbea huoEve huyu ni avril mwenyewee
Na walikua wanasagana na yule walieimba nae "tumekuja chokoza
matol upo?ujinga mtupu.
Walifanya Kazi alivyorudi bongo Ommy vishimo akanza kujiogelesha ooh yule mtoto n mkali hamna mwanaume asie mtamaniHadi yule dimpoz wanayesema hapigi mechi....
Nasikia keshakula hapo? Sasa sijui kala vipi?
Demu mzuri hata mie namtamani uwa kila cku lazima niangalie tamthilia ya sumu la penzi nimuone tuHuyu demu yupo katik series moja ya kenya yaitwa shuga yupo kawaid tu ...hizo kwa picha ni uchawi wa kamera na make up....wanaume wenyew ndo sisi tunasema hatumtaman...ka vip weka thread wadau wafunguk uone msanii gan EA anavutia watu..kama atakuw na list kubwa ya wanao mkubali
Timamu Kamanda.matol upo?
Avril ni zaidiUzuri upo machoni mwa mtu mbona hata Marya ni mzuri yule aliyeimba nae Chokoza
Apate Exposure ya media kwa Kazi Gan kuuza mwili n kuwa pundaHUYO mbona hata Masogange yuko juu. Sema labda masogange hana exposure ya kwenye midia.
Daaah zile picha akisagana zilikuwa ni shidaHuyu si ni anapenda kusagana, halaf mbona wa kawaida unawaacha wapi kina Zari
Mmmh huyu na zari...zari haingii hata kidogoHuyu si ni anapenda kusagana, halaf mbona wa kawaida unawaacha wapi kina Zari
acha hzo bhanaKomwe hata rihana atasubiri
Ila nasikia sio mchoyoKomwe hata rihana atasubiri