Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
Hamna kitu wa kawaida tu
Haingii kwa masogange hyo
Haingii kwa masogange hyo
Mwambie aelewe ,sipigi foleni kwa huyu naenda zangu uswazi kuchukua sungura tope wa maana tu kiulaini nagegeduka, siwezi kutamani shelf la make up mie!Huyu demu yupo katik series moja ya kenya yaitwa shuga yupo kawaid tu ...hizo kwa picha ni uchawi wa kamera na make up....wanaume wenyew ndo sisi tunasema hatumtaman...ka vip weka thread wadau wafunguk uone msanii gan EA anavutia watu..kama atakuw na list kubwa ya wanao mkubali
Aende zake.....hata mie naongoza kwa kutamaniwa na mapedejee ya Kinondoni.
Huyu si ni anapenda kusagana, halaf mbona wa kawaida unawaacha wapi kina Zari
Madam B weka picha yako basi nawe tukuone!
Hamna kitu wa kawaida tu
Haingii kwa masogange hyo
Eve huyu ni avril mwenyewee
Na walikua wanasagana na yule walieimba nae "tumekuja chokoza
Hapana sio avril huyu ni mwingine mi nilimwonaga kuna wimbo mmoja waliimba pamoja na Prezzoo sijui unaitwaje nimeusahau
Labda kawaida ina maana ingine, lakini Avril kiboko aisee...
Jamani bongo kuna akina Jide mwasiti mbona mmewasshsu khaa
Ha ha haaaaa we mchokoz sasa.....
Msanii wa nyimbo chokoza ambayo inayo maneno tata- jamaa hajui hata kama napenda mademu au machali.Huyu si ni anapenda kusagana, halaf mbona wa kawaida unawaacha wapi kina Zari
umetumia kigezo gani kujua anatamaniwa na wanaume? wengi[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
![]()
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]![]()
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]![]()
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]![]()
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]
Huyu ndio msanii wa kike East Africa anayeongoza kwa kutamaniwa na wanaume
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]