Aviator addiction; something I don't wish even to my worst enemy

Aviator addiction; something I don't wish even to my worst enemy

Na sio kuwa inadeal na afya tu bali inawauwa kabisa watu wa afya sijui itakuwaje ila ndiyo hivyo aisee .

Mkifika kwenye watu walioathirika na madanguro naomba watu wa vyombo vya usalama wasiachwe hata wakiwatisha vipi ,muwataje
😃😃😃😃 mapolisi aisee ni wanunuz wa mbususu sana cjui kwann.
 
Kabisa,kuna watu na kazi zao taaluma madokta,mwanasheria,mhasibu watu kama 8
Nmepewa kesi yao hali zao
Siyo nzuri wameuza kila kitu
Wengine mpk wamedata
Mwanzoni ndg jamaa zao walijuwa labda kuna mambo yamewavuruga,kuja kufanya uchunguzi wamegundua wALikuwa wanacheza kindege

Ova
Aisee wameuza kila kitu na unakuta wamechukua na mikopo yote aviator kabeba lazma udate.
 
😃😃😃😃 mapolisi aisee ni wanunuz wa mbususu sana cjui kwann.
Mimi sijasema hao kaka ,mwanasheria wako bado yupo lakini ?
Sema nini haujakutana na watoto wa kihangaiko ukaona jinsi wanavyoleta ubabe kwenye tududu twa watu wewe mbona utakuja kuwatoa hao jamaa kwenye list maana hao uliowataja wao wanakulaga kwa jina la doria wakishiba wanavaa uniform tayari kwa kupokea elfu kumi kumi kwa nguvu ili wake zao waamke na make mezani siku ya pili
 
Utashangaa tu mtu anaaza kukukopa hovyo hovyo na hujamzoea,akiomba laki ukasema huna hata 10k una 5k mfukoni anakuambia nitumie hiyo hiyo.

Jua ushampoteza ndugu yako,yaani kaishaa

Mtoa maada weka dalili nyingine hapo😁🙌
Uko sahihi kabisa,dalili za mtu ambaye yupo addicted na aviator ni very tricky mtu wa karibu kujua ni ngumu sana.

Hata Mimi nilikua leo unanikuta na milioni 2 kesho nakuuomba 5k nile mpaka unashangaa.

Nakopa 200k napiga napata 1M yule jamaa aliyenikopa nampa 300k namwimbia hiyo 100k ishi nayo .
Baada ya siku Moja tena naazima 50k kwake


Cycle inaenda hivyo mpaka sasa mnagombana unahamia kwingine unakua sugu wa madeni
 
Uko sahihi kabisa,dalili za mtu ambaye yupo addicted na aviator ni very tricky mtu wa karibu kujua ni ngumu sana.

Hata Mimi nilikua leo unanikuta na milioni 2 kesho nakuuomba 5k nile mpaka unashangaa.

Nakopa 200k napiga napata 1M yule jamaa aliyenikopa nampa 300k namwimbia hiyo 100k ishi nayo .
Baada ya siku Moja tena naazima 50k kwake


Cycle inaenda hivyo mpaka sasa mnagombana unahamia kwingine unakua sugu wa madeni
umeacha au bado unarusha kindege?
 
Come on, u mean more than bakari nondo mwa....
Kwenye bakari ni hatari zaidi maana kule watu hawapati pesa ila wanausugu nako. Jamaa atakuwa hamjui Bakari Nondo na asijaribu kumjua maana atapata addiction kote, Aviator na Bakari!
 
Uko sahihi kabisa,dalili za mtu ambaye yupo addicted na aviator ni very tricky mtu wa karibu kujua ni ngumu sana.

Hata Mimi nilikua leo unanikuta na milioni 2 kesho nakuuomba 5k nile mpaka unashangaa.

Nakopa 200k napiga napata 1M yule jamaa aliyenikopa nampa 300k namwimbia hiyo 100k ishi nayo .
Baada ya siku Moja tena naazima 50k kwake


Cycle inaenda hivyo mpaka sasa mnagombana unahamia kwingine unakua sugu wa madeni
Yaan umeweka laki, ndege inaanza tu kupaa ..inapaa kwa speed😀😀😀sasa sijui anakuwaga Rubani mzoefu, Jamaa waongo sana!!
 
Back
Top Bottom