Aviator addiction; something I don't wish even to my worst enemy

Aviator addiction; something I don't wish even to my worst enemy

Hakuna kitu chenye addition zaid ya tamaa ya kupata kikubwa, unawaza nikiweka laki ikienda round 10 milion end the day unaliwa unaweka tel elfu 50 hapo unakiacha ikifika laki tatu unatoa unajipa moyo now mwamba ngoja niweke yote nipate laki sita odd 2 mara fyuu kesho unaenda piga kaz ukipata hela mchezo ni uleule, nilishawah kula milion 10 yote ikaishia humo humo so nitamaa ya kupata zaid
 
Hiyo aviator ni mchezo wa mchina nn 😄

Ova
Dah hapana kaka ni kamari ambayo ipo kwenye app zingine kama ilivyo kubashiri mechi ila utofauti wake ni kuwa huko wanafanya kama wanashindana na kompyuta kurusha ndege hivyo ndiyo maana wanaita aviator .

Nimesikitika kwa sababu nahisi hii kamari ni maalumu kwajili ya madaktari sababu ninao wawili ambao ni addicted na kazi haziendi tena kama awali ila cha kusikitisha ni kuwa wengi wanakimbilia kuyumbisha madish yao

Hapa namsemq mmoja dishi limeyumba kweli ,katolewa rufaa katupwa huko vijijini kwenye kituo cha afya kwenye kupeleleza chanzo ni nini wanadai utendaji wake umeshuka sana na pia ni kama dishi halisomi mnara vizuri tena ,huku na huku ikaja kugundulika aviator ndiye mchawi .
 
Animated object yenye pattern zake inashikilia life ya mtu mwenye chance zaidi ya 200 za kutotabirika.
Ni hatari.
 
Dah hapana kaka ni kamari ambayo ipo kwenye app zingine kama ilivyo kubashiri mechi ila utofauti wake ni kuwa huko wanafanya kama wanashindana na kompyuta kurusha ndege hivyo ndiyo maana wanaita aviator .

Nimesikitika kwa sababu nahisi hii kamari ni maalumu kwajili ya madaktari sababu ninao wawili ambao ni addicted na kazi haziendi tena kama awali ila cha kusikitisha ni kuwa wengi wanakimbilia kuyumbisha madish yao

Hapa namsemq mmoja dishi limeyumba kweli ,katolewa rufaa katupwa huko vijijini kwenye kituo cha afya kwenye kupeleleza chanzo ni nini wanadai utendaji wake umeshuka sana na pia ni kama dishi halisomi mnara vizuri tena ,huku na huku ikaja kugundulika aviator ndiye mchawi .
Kuna waalimu sasa🙌🙌

Hii kitu inaua watu low key
 
Watu hawasemi tu ila hii kitu inatafuna bwanaaa 🙌🙌
Ukiwa addicted na madawa watu watakuona tu coz afya itaaza kubadilika.
Ila mbaka mtu ajue upo addicted na hii kitu ni upo kaburini.

Mbaya zaidi hii haina jinsia Wala kiwango Cha Elimu inatafuna wote.
 
Dah hapana kaka ni kamari ambayo ipo kwenye app zingine kama ilivyo kubashiri mechi ila utofauti wake ni kuwa huko wanafanya kama wanashindana na kompyuta kurusha ndege hivyo ndiyo maana wanaita aviator .

Nimesikitika kwa sababu nahisi hii kamari ni maalumu kwajili ya madaktari sababu ninao wawili ambao ni addicted na kazi haziendi tena kama awali ila cha kusikitisha ni kuwa wengi wanakimbilia kuyumbisha madish yao

Hapa namsemq mmoja dishi limeyumba kweli ,katolewa rufaa katupwa huko vijijini kwenye kituo cha afya kwenye kupeleleza chanzo ni nini wanadai utendaji wake umeshuka sana na pia ni kama dishi halisomi mnara vizuri tena ,huku na huku ikaja kugundulika aviator ndiye mchawi .
Kuna wakili mmj naye kindege kishamvuruga ubongo,ndugu jamaa
Kuchunguza kumbe kindege ashammaliza

Ova
 
Watu hawasemi tu ila hii kitu inatafuna bwanaaa 🙌🙌
Ukiwa addicted na madawa watu watakuona tu coz afya itaaza kubadilika.
Ila mbaka mtu ajue upo addicted na hii kitu ni upo kaburini.

Mbaya zaidi hii haina jinsia Wala kiwango Cha Elimu inatafuna wote.
Unaambiwa haifai
Inabidi serikali ingilie kati
😄 huko

Ova
 
Utashangaa tu mtu anaaza kukukopa hovyo hovyo na hujamzoea,akiomba laki ukasema huna hata 10k una 5k mfukoni anakuambia nitumie hiyo hiyo.

Jua ushampoteza ndugu yako,yaani kaishaa

Mtoa maada weka dalili nyingine hapo😁🙌
 
Dah hapana kaka ni kamari ambayo ipo kwenye app zingine kama ilivyo kubashiri mechi ila utofauti wake ni kuwa huko wanafanya kama wanashindana na kompyuta kurusha ndege hivyo ndiyo maana wanaita aviator .

Nimesikitika kwa sababu nahisi hii kamari ni maalumu kwajili ya madaktari sababu ninao wawili ambao ni addicted na kazi haziendi tena kama awali ila cha kusikitisha ni kuwa wengi wanakimbilia kuyumbisha madish yao

Hapa namsemq mmoja dishi limeyumba kweli ,katolewa rufaa katupwa huko vijijini kwenye kituo cha afya kwenye kupeleleza chanzo ni nini wanadai utendaji wake umeshuka sana na pia ni kama dishi halisomi mnara vizuri tena ,huku na huku ikaja kugundulika aviator ndiye mchawi .
Hakika hyo ktu imeamua kudeal na kada ya afya, kuna dogo ni CO hapa mtaani kindege kinampeleka puta mbaya sana
 
Hakika hyo ktu imeamua kudeal na kada ya afya, kuna dogo ni CO hapa mtaani kindege kinampeleka puta mbaya sana
Na sio kuwa inadeal na afya tu bali inawauwa kabisa watu wa afya sijui itakuwaje ila ndiyo hivyo aisee .

Mkifika kwenye watu walioathirika na madanguro naomba watu wa vyombo vya usalama wasiachwe hata wakiwatisha vipi ,muwataje
 
Hakika hata awe smart na exposure kiasi gani ujue mshampoteza
Kabisa,kuna watu na kazi zao taaluma madokta,mwanasheria,mhasibu watu kama 8
Nmepewa kesi yao hali zao
Siyo nzuri wameuza kila kitu
Wengine mpk wamedata
Mwanzoni ndg jamaa zao walijuwa labda kuna mambo yamewavuruga,kuja kufanya uchunguzi wamegundua wALikuwa wanacheza kindege

Ova
 
Back
Top Bottom