Aviation news: Fly 540's low airfares rattle Tanzanian competition

Siwafahamu hawa 540, lakini hiyo nauli wanayotoza kwenda MZA na kurudi DSM, sijui kama inaendana na huduma, usalama, n.k. Bure gharama jamani!!! Sikubaliani na Mahesabu kuhusu PRECISSIONAIR kuiua ATC, kusema la ukweli ni ufisadi ndo umeiua ATC (a.k.a Any Time Cancellation)!!!

sijui ulikuwa wapi? wakati Basil Mramba alikuwa waziri anayesimamia ATC at the same time akiwa Share holder wa Precision air
 
Hao 540 - nadhani wameanza na bei hizo poa kama marketing strategy. Hawataendelea nazo kwa muda mrefu. Mkumbuke kulikuwa na airline nyingine ilikuja na bei poa - sijui waliitaje naamini ilikuwa ya baba mmoja kule mwanza, sasa haionekani tena.
 
Watanzania tunanyanyasika sana kwa sababu ya ubinafsi. Hatushirikiani, hatupeani taarifa za maendeleo. Tubadilike. Simu za mwanzo zilikuwa zinauzwa shs 1.700,000 tena analog. Vitu bei ni kubwa mno bila sababu. Napendekeza tufanye mkakati na tuunde tume ya maridhiano na amani. Wenye taarifa zote za hujuma wazitoe. Watuhumiwa wanaoliangamiza taifa wakiri na sisi tuwasamehe.

Tuanze ukurasa mpya kwani tunatesana sana bila huruma. Wenzetu wachache wana utajiri mkubwa sana kwa ufisadi. Tukiwasamehe watakuja wekeza ndani ya nchi kwa viwango vizuri na ajira nk vitaongezeka. Inatia hasira sana na uchungu mkubwa.

Hata wafanyabiashara ya dala dala wanataka faida baada ya mwaka mmoja. Siyo haki ni wizi. China kupanga nyumba ukilipa baadhi ya maeneo shilingi 1,500,000 utakaa katika nyumba kwa miaka sabini.

Tutafakari mambo haya ya biashara. Twahitaji mapinduzi ya haraka/
 
FLY 540 Mwanza dar return ticket 199 Tsh. Precession kuona hivyo wakaja na 149 return the same trip....ila kwa office since Jan to May this year mean kwa muda mrefu tumekuwa tukiibwa kama ilikuwa ni 199 one way kwa precession jamani.Kumbe inawezekana...watanzania kwa kuwa hatuna sijui pa kuanzia..?

Wakati nakuja dar wiki iliyo pita kuna mtanzania mwenzetu mmoja wa kanda ya ziwa alidiliki kulalamika kuwa bei imepungua sna...watapanda na wasio husika kwenye ndege na kuleta balaa..karibu nimmeze kwenye ndege...kwa kweli kwa kumbishia toka Mza mpaka dar..

Anaonekana alikuwa kigogo serikalini...means atakuwa alipiwa na serikali au kuwa refunded....akafie mbali.
 
Siwafahamu hawa 540, lakini hiyo nauli wanayotoza kwenda MZA na kurudi DSM, sijui kama inaendana na huduma, usalama, n.k. Bure gharama jamani!!! Sikubaliani na Mahesabu kuhusu PRECISSIONAIR kuiua ATC, kusema la ukweli ni ufisadi ndo umeiua ATC (a.k.a Any Time Cancellation)!!!

Basil Mramba (while being a minister for infrastructure and majority share holder of Precision Air)) and his PrecisionAir inner circle akiwemo the former ambassador to South Africa (Mr Ammy Mpungwe) ndio wameiuwa ATC makusudi ili PrecisionAir ipete. Lakini kwa umbumbumbu wao badala ya kuiendelea hiyo Precision naona wamekalia kununua hayo madude mambovu ya ATR. I believe very soon ATC itarudi tena kwa kishindo na ndege za kisasa
 
Hao 540 - nadhani wameanza na bei hizo poa kama marketing strategy. Hawataendelea nazo kwa muda mrefu. Mkumbuke kulikuwa na airline nyingine ilikuja na bei poa - sijui waliitaje naamini ilikuwa ya baba mmoja kule mwanza, sasa haionekani tena.

Ilijulikana kama community airline. Ilifanya kazi kwa muda kidogo wakapotea.
 
Tanzania ni nchi ya kuchuma,leo tunalipia Multichoice (DSTV)kwa usd,tena haijalishi baada ya kulipia umesafiri na haujatumia,nasi tumekuwa wepesi kuridhika bila kuoji.
 
Umelonga mkubwa. Ni kweli iliyo wazi DSTV ni kidonda ambacho hakiponi na hao jamaa wanaendelea kutukamua tu kama tusio na baba wa kutusemea! Jamani tuamke? Kwani tukikataa kulipa wote si watafunga biashara na hapo ndio tutapata mbadala. Si mnaona 540 na Precision?
Kitaeleweka tu.
 
precision wako cheap zaidi ya fly 540 kwani fly 540 wanacharge 199000 Dar mwz Dar while precision 149000 same route na watafanya hivyo kucheki soko hadi July 11 this year pia precision Dar mwz wanafanya sh.98000 only wakati ukipanda luxury coach kama Allys,Mohamed,Lucky star ,Mchina,Green star unalipa 40000 -50000 kutwa nzima kwa nini usibook precision
 
Watanzania tunanyanyasika sana kwa sababu ya ubinafsi. Hatushirikiani, hatupeani taarifa za maendeleo. Tubadilike. Simu za mwanzo zilikuwa zinauzwa shs 1.700,000 tena analog. Vitu bei ni kubwa mno bila sababu. Napendekeza tufanye mkakati na tuunde tume ya maridhiano na amani. Wenye taarifa zote za hujuma wazitoe. Watuhumiwa wanaoliangamiza taifa wakiri na sisi tuwasamehe.

Tuanze ukurasa mpya kwani tunatesana sana bila huruma. Wenzetu wachache wana utajiri mkubwa sana kwa ufisadi. Tukiwasamehe watakuja wekeza ndani ya nchi kwa viwango vizuri na ajira nk vitaongezeka. Inatia hasira sana na uchungu mkubwa.

Hata wafanyabiashara ya dala dala wanataka faida baada ya mwaka mmoja. Siyo haki ni wizi. China kupanga nyumba ukilipa baadhi ya maeneo shilingi 1,500,000 utakaa katika nyumba kwa miaka sabini.

Tutafakari mambo haya ya biashara. Twahitaji mapinduzi ya haraka/

Mkuu hiyo ni nyumba gani? Yaani unalipa sawa na Tshs 1,785.714 (elfu moja mia saba kumi na nne na senti sabini na moja) kwa mwezi?. Mhhhhh!

precision wako cheap zaidi ya fly 540 kwani fly 540 wanacharge 199000 Dar mwz Dar while precision 149000 same route na watafanya hivyo kucheki soko hadi July 11 this year pia precision Dar mwz wanafanya sh.98000 only wakati ukipanda luxury coach kama Allys,Mohamed,Lucky star ,Mchina,Green star unalipa 40000 -50000 kutwa nzima kwa nini usibook precision

Lol! Kweli TZ tunaibiwa sana. Disemba 2009 nililipishwa around 380,000 kwa return ticket ya DAR-MZA, leo nauli ni chini ya nusu yake? Hata siamini. Ndo yale yale ya Mobitel (enzi hizo) walipokuja na simu zao za mshindi kwa dola 500 na zaidi na ilikuwa hata ukipigiwa simu pia unalipishwa. Mhhh! Yaani tumeibiwa vya kutosha.
 
Back
Top Bottom