Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
Jana ndege mpya kubwa aina ya AIR BUS imezinduliwa na kampuni ya Fast Jet yenye uwezo wa kubeba abiria 150-200.
Ni jambo zuri na la kusifiwa sana,sasa tatizo ni nauli kati ya makampuni hayo hapo juu. Precision wanatoza zaidi ya Tsh 350,000 safari ya kwenda Mwanza na Kurudi DAR, Wakati Fast JET ukiwahi kukata ticketi nauli ya kwenda na kurudi ni chini ya Tsh 100,000.
Fast Jet wamezindua safari yao jana na safari rasmi itaanza kesho tarehe 29/11/2012. Kwa tofauti hizo za nauli bishara itakuwaje kwa makampuni hayo? Fast Jet watamudu ushindani au watakuwa kama Community Air Line? Precision ataendelea kupata wateja kama kawaida? Nauli ya mabasi toka Mwz hadi Dar ni Tsh 80,000 kwa kwenda na kurudi na unafika saa nne usiku upande wao kibiashara itakuwaje?
Karibuni wadau tuchanganue changamoto katika technologia ya ya Air Line!lane:
Ni jambo zuri na la kusifiwa sana,sasa tatizo ni nauli kati ya makampuni hayo hapo juu. Precision wanatoza zaidi ya Tsh 350,000 safari ya kwenda Mwanza na Kurudi DAR, Wakati Fast JET ukiwahi kukata ticketi nauli ya kwenda na kurudi ni chini ya Tsh 100,000.
Fast Jet wamezindua safari yao jana na safari rasmi itaanza kesho tarehe 29/11/2012. Kwa tofauti hizo za nauli bishara itakuwaje kwa makampuni hayo? Fast Jet watamudu ushindani au watakuwa kama Community Air Line? Precision ataendelea kupata wateja kama kawaida? Nauli ya mabasi toka Mwz hadi Dar ni Tsh 80,000 kwa kwenda na kurudi na unafika saa nne usiku upande wao kibiashara itakuwaje?
Karibuni wadau tuchanganue changamoto katika technologia ya ya Air Line!lane: