Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
thina uthemi!Thats why KUDUMISHA MILA hakukwepeki, unasemaje bwana harusi?
thina uthemi!Thats why KUDUMISHA MILA hakukwepeki, unasemaje bwana harusi?
Mbona huu msisitizo umezidi? una ajenda gani ya siri wewe?Kwani na wewe unamuvuzishwa na avatar?
Jamani hii sijawai sikia na haijawai nitokea.Kama malavidavi ndio haya basi kazi ipo.lakni nimewahi sikia wanasema ;mapenzi ni kama utoto na mapenzi ni uchafu pia.Na nyie mnaposafiri na mashati ya waume zenu ambayo hayajafuliwa ili muwe mnajifariji na harufu ya kikwapa mbona hamsemi? Au mnafikiri hatuyajui hayo?
thina uthemi!
tatizo litakuwa valuu!wanawake wanapenda sana pia BED-ATHLETISTSKwani na xpin naye huwa anasumbuliwa sana kwenye PM? Carmel yeye tatizo ni Avatar.Sasa xpin tatizo itakuwa ni nini?
ha ha haaaaaaaaaa. umenikumbusha kitu
wakubwa wangu wanasema NIMELOGWA!...sema kwa sauti ndogo.
tatizo litakuwa valuu!wanawake wanapenda sana pia BED-ATHLETISTS
kwa hiyo tatizo ni avator yake ya ATHLETICS(IN BED)
Yani unasema mu avatar? yani mbaya? huyo ni my daughter........................Afu na wewe huo mu-avatar wako usiubadilishe wasije waruba wakanitekea vyangu thru PMs! LOLZ!
tru; trueJamani hii sijawai sikia na haijawai nitokea.Kama malavidavi ndio haya basi kazi ipo.lakni nimewahi sikia wanasema ;mapenzi ni kama utoto na mapenzi ni uchafu pia.
ila sometimes inakuwa too much,hadi avatar jamani mtu udenda unamtoka? afu watu wengine huwa wanaweka avatar za warembo kumbe wenyewe ni madume tena babu kizee.
na bahati yako mbaya hakutongozi mtu hapa.
umenigongea SENKSI!.....Hebu kaangalie nimekugongea nini kwenye hii yuziful post.
Jamani hii sijawai sikia na haijawai nitokea.Kama malavidavi ndio haya basi kazi ipo.lakni nimewahi sikia wanasema ;mapenzi ni kama utoto na mapenzi ni uchafu pia.
ila sometimes inakuwa too much,hadi avatar jamani mtu udenda unamtoka? afu watu wengine huwa wanaweka avatar za warembo kumbe wenyewe ni madume tena babu kizee.
Kumbe ndio maana aliitoa ile avatar? alikuwa anasumbuliwa sana.tatizo litakuwa valuu!wanawake wanapenda sana pia BED-ATHLETISTS
kwa hiyo tatizo ni avator yake ya ATHLETICS(IN BED)
AMESUMBULIWA SANA!kuna wakati server ya jf ilijaa na mtandaoo ukawa low.tatizo lilikuwa ni pi-emu za mumeo.ikabidi invisible aandike barua ya kumuomba muhishimiwa abadilisheKumbe ndio maana aliitoa ile avatar? alikuwa anasumbuliwa sana.
hehehe!haya mama.mwambie huo uchawi wake ni very useful na nimpa senks!