20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
- Thread starter
- #21
Mwanaume asichukulie uhasama au kukomoana !! Mkewe anambimba hivo hiyo mimba inampelekesha !! hilo nijambo la kawaida litapita baada ya kujifunguwa!!
Hatar sana hii,kitu. Sometimes anamkomalia waende wote kwenye mizunguko yake. Jamaa akija kijiweni tu, dk mbili anataka arudishwe home..hatari sana