CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Yaan hata huwa nalipenda kweli... hivi nani aliyeli create??
Wewe hujaulizwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano ni nani ila umeulizwa aliyebuni tangazo#
Mbona unalialia! Kwani we umejipangaje?Si ndio hivyo nimejibu au?!
haha hebu rudia kusoma post yakoila Airtel wana matangango mazuri sanaa
Eti wanasema ni Dr.W.Slaa
Yule si ameshakatwa.!!Wewe hujaulizwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano ni nani ila umeulizwa aliyebuni tangazo#
Nna buku!
Ninayo nitaiweka nikitulia kwenye laptop.
Una speed sana ya ku_comment, lkn unaruhusiwa kurekebisha pia, kama hivi;
Ninayo kwenye laptop, nikitulia nitaiweka
Wekeni na picha basi jmn.
Huyu naye atakuwa ndorrrobo eeh?hahahahaaaa