Toa risiti kidigitali ukiwa na mfumo wa Dirm VFD kwa kutumia simu yako au laptop

luck_martine

Member
Jun 6, 2023
10
6
MAELEZO JUU YA UTOAJI RISITI KIDIGITALI UKIWA NA MFUMO WA DIRM VFD KWA KUTUMIA SIMU YAKO AU LAPTOP YAKO.

DIRM VFD ni Mfumo unaotumia teknolojia ya kisasa inayokuwezesha kutoa risiti halali za
EFD kidigitali Kwa kutumia Simu ya mkononi au kumpyuta*
Sifa za kipekee za DIRM VFD
. Bei ni nafuu zaidi
• Unaweza kutoa risiti popote ulipo
•Kutoa risiti bila kikomo
.Idadi ya watumiaji bila kikomo
.Uwezo wa kutunza taarifa na kanzi data za wateja
. Uwezo wa kutoa risiti nakala ngumu na nakala laini
.Kutuma Z-Report otomatiki
.Uwezo wa kutuma risiti katika vifaa vingine
.Uwezo wa kusitisha risiti zenye makosa
. Usalama ni wa hali ya juu
•Inaendana na matakwa ya sheria za kodi kwenye Z-Report na VAT

MAHITAJI MUHIMU ILI KUUNGANISHWA
KUTUMIA DIRM VFD:
  • Cheti Cha TIN
  • Kitambulisho Cha Taifa NIDA au Cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

Pia Unaweza kupiga simu namba 0612885532 au WhatsApp no 0711697881 Pia kufika ofisini kwetu (THREE BROTHERS ASSOCIATES )tunapatikana Masasi St, Kariakoo Pia unaweza kutupigia tunawafata wateja wetu popote walipo ndani ya Dar es salaam ata wa mikoani msisite kutupigia karibuni nyote gharama ni nafuhu sana
 
Back
Top Bottom