Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Msikivu umesema.. ni nani asiyemjua..mtu anayetukana wazazi parent day... ndo unamwita msikivu huyo..
Pole sana kama alikutukana. Mimi alinisikiliza vizuri sana na kwa adabu kabisa . Nakushauri umripoti Polisi kuwa amekutukana ili sheria ifuate mkondo wake.
