Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wakuu, hizi ni taarifa mbaya.
Mwandishi wa habari mkongwe Atilio Tagalile ametutoka usiku wa kuamkia leo!
Alilazwa kwa wiki moja. Awali Hindu Mandal kisha Rugambwa hadi umauti ulipomfika saa sita ya usiku wa kuamkia leo.
Alikuwa mwandishi, mchambuzi na mkufunzi wa wengi. Aliwahi kufanya kazi Radio Channel Africa na Sauti ya Ujerumani (DW). Aidha, alifanyia kazi magazeti ya Daily News na The Citizen.
Tagalile alikuwa miongoni mwa wanachama wa JF (ambao niliwajua at a personal level).
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani