... ni kinyume cha kanuni za JF ku-disclose taarifa za member humu. Angetaka kujulikana angejisajili kama verified member ila kwa kuwa hakupenda basi msimamo wake uheshimiwe hata baada ya kufariki.R.I.P mwandishi.
Alijulikana kwa jina gani humu?
Itoshe kuguswa na msiba wa muhusika mwenyewe kwa jina lake la ukweli maana hilo ndilo lamtambulisha kwa jamii yakeR.I.P mwandishi.
Alijulikana kwa jina gani humu?
Rugambwa iko wapi?Apumzike kwa amani. Tangu wimbi la pili Rugambwa imekuwa na rekodi nzuri ya kuwa na vifo vichache vya wagonjwa wa corona wakati sio hospitali kubwa. Hasa mapadre na masista wanalazwa uko
Hospitali ya kanisa iko karibu na Gongolamboto. Najua kwa sasa imejaza wagonjwa wa uvikoRugambwa iko wapi?
Hahahaaahahaha. Dah umenichekesha sana. Poleni wafiwa,njia yetu Ni mojaPole kwa wafiwa.
Umenichekesha sana mkuu,
Juzi Kuna mama wa kinyakyusa nilikua nazungumza naye anilikua anaitikia tu mmh mhh ejo ejoo .
Mbona kuna picha mkuu!Bandiko lingesindikizwa na picha ingekua poah sana.
Wewe jua tu Kafariki mengine si Muhimu.Apumzike kwa amani,humu JF alikuwa anatumia verified name au?
AminView attachment 1846430
Wakuu, hizi ni taarifa mbaya.
Mwandishi wa habari mkongwe Atilio Tagalile ametutoka usiku wa kuamkia leo!
Alilazwa kwa wiki moja. Awali Hindu Mandal kisha Rugambwa hadi umauti ulipomfika saa sita ya usiku wa kuamkia leo.
Alikuwa mwandishi, mchambuzi na mkufunzi wa wengi. Aliwahi kufanya kazi Radio Channel Africa na Sauti ya Ujerumani (DW). Aidha, alifanyia kazi magazeti ya Daily News na The Citizen.
Tagalile alikuwa miongoni mwa wanachama wa JF (ambao niliwajua at a personal level).
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani