Ati, "inategemea". 🤮

Ati, "inategemea". 🤮

Lakini mkuu, neno 'inategemea' linaporudiwa huwa linakera sana. Naona hata wife analitumia mara kadhaa, labda ndiyo maana nikilisikia huwa nakereka tu.
Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom