ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,427
- 126,562
Basi ndio sababu binti analitumia sana, kama mkeo ana tabia ya kutumia vibwagizo fulani, ni rahisi sana watoto kuiga.Lakini mkuu, neno 'inategemea' linaporudiwa huwa linakera sana. Naona hata wife analitumia mara kadhaa, labda ndiyo maana nikilisikia huwa nakereka tu.