Ukikubali kua hoja zako zilijibiwa na hakuna post sikuijibu ntakuthibitishiaTHIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
hahaha umenifanya nitabasamu asee, bora umejitanabaisha mwenyewe kuwa umechoka, kwani inaonekana hata BIBLE TAKATIFU hujasoma ndio maana swali la kwanza na la pili yote huna majibu yake ingawa majibu yote yapo bayana tena kwa uzuri sana kwenye Biblia.Mshahara wa dhambi ni mauti ni mtoto mdogo kazaliwa na kufa kapata mshahara wake kwa dhambi ipi aliyoifanya....?
Hivi pale edeni simba nae alikula tunda maana naye anakufa wakati aliykula tunda na mwanadam
Aaah kwanza inachosha vingine ni uchwara tu
Mungu hakunaga kitu kama hicho popote pale
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.Ukikubali kua hoja zako zilijibiwa na hakuna post sikuijibu ntakuthibitishia
unakubali hilo?
Maana hata hapa naweza kukithibitishia ukasema sijathibitisha
Ukishindwa mala ya kwanza ya pili fanya kusudiTHIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.Ukishindwa mala ya kwanza ya pili fanya kusudi
Naona umekimbia hoja nilizokupa kwa kivuli kua hazijafata utaratibu uliotaka wewe ujibiwe kwasababu zimekuzidi kimo
Huwezi kukubali kua nimejibu kwasababu kukubali kwako kutakufanya uonekane umekimbia hoja zangu hiyo ni weakness yako
Hata usumbuki kuandika we una paste tu au siyo??THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
si kweli Mungu ameamua kujificha, na wapo watu kadhaa ambao wamepata Neema ya kuonana naye (lakini je ushuhuda wao utaukubali ewe mwana uliyeamua kuchagua upande wa kupinga?) Mungu anatuambie ....nikaribieni nami nitawakaribia, niiteni nami nitaitika, Lakini .... Maovu yetu yametutenga na Uso wa Mungu hata tusimuone. Je, unalazimisha kumuona katikati ya kiburi hiki cha kumpinga? Hutamuona isipokuwa kwa siku ya hasira yake tu! Anyway Wana wa Israel wali force sana kutaka kumuona live kama wewe, Siku ya tatu alipotokeza uwepo wake kwenye Mlima Sinai, waulize kilichowafanya wamwambie Musa kwamba "Hawataki tena Mungu ashuke kuonana nao bali Musa aendelee tu kufanya naye contact peke yake na wao waletewe ujumbe tu.mfano mkuu ukiulizwa kwanini Mungu ameamua kujificha kabisa!!!hakuna ambaye amewahi kumuona.
utajibu kwa sababu ni swali,au utajibu jibu sahihi??
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.Hata usumbuki kuandika we una paste tu au siyo??
Sasa kwa kujua huwezi kukiri hilo kua hoja zako zimejibiwa na hutaki kuonekana kama umezishindwa. Basi acha nikuthibitishie unavyotaka ili kuufanya mjadala usonge mbele sasa sawa??
Nimekubali ila wewe uko tayari kuthibitishiwa?THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.
THIBITISHA KUWA HAKUKUA MTU WA MWANZO NA WALA HAKUNA WA MWISHO.Nimekubali ila wewe uko tayari kuthibitishiwa?
Sijakuelewa kwa kuwa sijahubiri mtu nimesisitiza abakie ktk imani yakeSio lazima kila mtu afuate imani yako... Huna haja ya kumhubiria mtu ambacho unaamini
Uwepo na kutokuwepo kwa Mungu ni nadharia tu!
we hujichoshi ata ila kwa maelezo yanadai kuwa unapitia alichokipanga tayari ata ndo mana huwez kuamin na mjenga hoja anapitia yalioshapangwa... sasa ukibisha hili maana yake unabishia uwezo wa mungu kuwa sio mkubwa kiasi iko... mjengo hoja huenda mungu anaemuamin yeye anadai sio katiri ambae anaweza kuwa ameshapanga kukuadhibu kabla ww ujaanza kuishi.Mimi naomba kitu kimoja kwako, nacho ni kwamba na wewe uwe unajibu maswali kama vile nlivokuwa nayajibu yako. kama huwezi kujibu useme kabisa. Mana nishawazoea. Mkiulizwa mnakimbia.
Mungu anajua mwisho wangu ni upi na wapi, lakini mimi mwanadamu alieniumba sijui mwisho wangu ni wapi, sasa kama sijui mwisho wangu ni upi, nikisali iweje useme najichosha na wakati mimi sijui? Naomba jibu.
Kuamini kwamba Mungu yupo it's all about "consciousness spirituality" kwahiyo ukitoa spirituality no religion will exist. Ndiyo maana wenyewe wanokataa, ukiwauliza watakujibu kutokana na kile ambacho "consciousness" yao inawaambia ndicho atakuwa Mungu wao kwa sababu hakuna mtu anayeisha bila "beliefs system" japo watakwambia Mungu hayupo.Kiukweli wanaojiita hawaamini uwepo wa Mungu hawajui wanachokitafuta.Na shida ni kwamba wanaowajibu pia hawajui wanachokijibu.
.
Uwepo wa Mungu upo ndani ya Mtu. Na ili Mungu awepo kwako ni lazima utimize mapenzi yake.
Sasa inashangaza anatokea kiumbe anasema " Mungu hayupo" na kwa wakati huo hatimizi mapenzi ya Mungu na wala hajishughulishi kuyajua mapenzi ya Mungu Bali anafuata mapenzi yake mwenyewe.
Halafu wanatokea watu wanaowajibu kuwa Mungu yupo,huku watu hao wakiwa hawayatimizi mapenzi ya Mungu yaani na wenyewe wanafuata mapenzi yao tu!
Mungu anadhihirishwa kwa matendo mema na kuishi vyema. Wote tunaoamini uwepo wa Mungu tungeishi kwa mapenzi ya Mungu hawa wanaojiita Atheists wala hata tusingewasikia.
Tujitahidi jamani kuwasaidie wenzetu kwa matendo yetu mema na upendo ili tuwajibu kwa tunayoyafanya.
Na kizuri zaidi tunajua Cha kufanya yaani tumpende Mungu,tujipende na kuwapenda wote Kama tujipendavyo
ushasema ameamuamfano mkuu ukiulizwa kwanini Mungu ameamua kujificha kabisa!!!hakuna ambaye amewahi kumuona.
utajibu kwa sababu ni swali,au utajibu jibu sahihi??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mshahara wa dhambi ni mauti ni mtoto mdogo kazaliwa na kufa kapata mshahara wake kwa dhambi ipi aliyoifanya....?
Hivi pale edeni simba nae alikula tunda maana naye anakufa wakati aliykula tunda na mwanadam
Aaah kwanza inachosha vingine ni uchwara tu
Mungu hakunaga kitu kama hicho popote pale
[emoji16][emoji16]Huyo Mungu hawezi kujitetea mwenyewe mpaka wewe ukauke sauti humu !!!
Hoja madhubuti [emoji16][emoji16]Kabla ujafa Mungu wako anajua utakufa lini, kabla ujafa je Mungu wako anajua wewe ni wa motoni au wapeponi?