Atheism ni nini?

Tiger naomba ukasome tena kitabu cha mwanzo vizuri, halafu maelezo yako yanabase kwenye sayansi ambayo imekuja miaka mingi baadae kwa hiyo vyovyote utakavyohoji utarudi kwenye duara lile lile la msingi wa uungu na uwepo wake

Kitabu cha hadithi aliyosimuliwa nani? Where is the authenticity?
 
Last edited by a moderator:
Binafsi siwashangai watu wasiamini uwepo wa Mungu kwakuwa wapo baadhi nimeishi nao kwa karibu kabisa na ni kweli hawajui chochote kuhusu Mungu hawajawahi kumsikia wala habari zake hawazifahamu hawana chochote wajuacho wamezaliwa hivyo wamekua wakiwa hivyo! shida yangu ni hawa wenye majina ya dini zetu wamebatizwa au wawepewa majina kufuatana na imani za wazazi wao wamekulia humo na hata baada ya kuja kujifanya hamamjui Mungu wameshindwa kuyakana majina yao hayo na kurudi mbele ya nyumba za ibada na kudeclare kuwa wao si waamini tena na viapo vyao na ubatizo wao ni batili
 
kwa kiswahili neno athaism ni upagani....ni hali ya kutoamini uwepo wa Mungu...wana sababu zao na ukizisikiliza haziwezi kukuingia akilini na wala hutozielewa hata uzisikie kwa lugha yako ikiwa wewe ni muumini wa dini fulani/unaamini uwepo wa Mungu.
 
kama unakubaliana kwa dhati kabisa na hiyo sentensi niliyotia red unaweza kutuambia mungu alikotokea?

Mwenyezi Mungu ndio wa mwanzo kama wanavosema wataalam katika cosmology kuwa asili lazima iwe finite lakini nyinyi mnakariri mnasema ni infinite na finite ukitoa infinite unapata contradiction..kwahiyo nasimamia hoja yangu kuwa asili ya binadam ndiyo inatufany sisi tuamini uwepo wa Mwenyezi Mungu...acheni kukariri.
 
For century atheist try to disprove the exists of God but they fail.
 
Kwahiyo Mungu alimsimulia muandishi wa kitabu cha mwanzo jinsi alivyoumba siyo?

Bado nakushauri Tiger kasome tena bible kama ukipenda kufanya hivyo kwakuwa kuna jibu kwa kila swali!
 
Last edited by a moderator:

Asante!
 
Bado nakushauri Tiger kasome tena bible kama ukipenda kufanya hivyo kwakuwa kuna jibu kwa kila swali!

Nimeisoma ila nimeshindwa kung'amua hilo, pengine sina upako.
Nisaidie tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Nimeisoma ila nimeshindwa kung'amua hilo, pengine sina upako.
Nisaidie tafadhali.

Tiger kama umeshindwa kuelewa ni ngumu mtu mwingine yeyote kuweza kukuelewesha na ukaelewa yani ni sawa na kunywa cocacola halafu tubishane kuhusu ladha yake mimi niseme ni tamu sana na wewe useme ila sukari sana utakuta kimsingi tunamaanisha kitu kilekile ila kwa muktadha tofauti lakini wakati huohuo wewe ukipinga kuwa humaanishi hivyo
 
Last edited by a moderator:

Poa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Umeongea mambo yasiyokuwa na maana.. Nani alishawahi muona Mungu sasa mpaka kusema tukifa tutakutana nae
 
Atheism Kwa lugha rahisi ni ujinga
Atheists Kwa lugha rahisi ni wajinga/mazuzu

Another qn please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…