Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,766
- 145,553
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Unaniuliza sawa na nililokuuliza.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Unaniuliza sawa na nililokuuliza.
Lolote utakaloweza kulifikiria.Nitajie wewe hilo baya japo moja ambalo mtu anaweza kutumia kitabu cha kufanya baya hilo.
Sijajibu kvp?
We unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Mi sijui baya lolote ambalo unaweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini.Lolote utakaloweza kulifikiria.
Kwa nini unataka kunifunga kwenye moja wakati nishakwambia lolote utakaloweza kulifikiria?
Kufanya alichofanya nini?Hujaeleza sababu ya kueleweka aliyokuwa nayo huyo Mungu wako kufanya alichofanya.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo?
Hata hujaelewa nilichoandika.Mi sijui baya lolote ambalo unaweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini.
Nini kiliwakuta Mkuu mpaka mkaacha na upadr. Mm niliishi ktk ukristo zaid ya miaka ishirini km mu anglican mwisho nikaachana nao baada ya kuuanza kutafuta elimu zaid niligundua vtu ambavyo nilishindwa kujibiwa
hakika elimu ni kitu muhimu sana
Nilishasema humu ,"HAKUNA MUNGU NA KAMA YUPO SIO HUYU MUNGU WA WAKRISTO,WAISLAM,BUDHA,HINDUISM ,JEWISH. N.k
Kufanya alichofanya nini?
Kwasababu aliona kuwa kila alichokiumba ni chema, kama wewe unaona kuwa kuna makosa Katika uumbaji basi umeamua kufanya hivyo mwenyewe kwasababu akili yako hushikiwi na mtu, huna uwezo wa kumfanya mtu yeyote aamini kila unacho kiamini wewe.Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo?
Sasa unapolaumu matendo ya watu kisa tu ni waumini na kuyafanya hayo matendo yao yanasababishwa na dini?Sijui lipi baya ambalo linafanywa na wenye kuamini dini tu!
Wewe una tatizo la kusoma na kushindwa kuelewa ulichokisoma.Sasa unapolaumu matendo ya watu kisa tu ni waumini na kuyafanya hayo matendo yao yanasababishwa na dini?
Ndiyo nikakwambia nitajie japo moja hilo baya ambalo unaweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini. Mie napingana na wewe kuwa unaweza kufanya jambo baya kwa kutumia kitabu cha dini,labda wewe utakuwa unazungumzia watu kufanya mambo mabaya na kuzingizia vitabu vya dini lakini sio kwamba kitabu cha dini kinampa mtu ruhusa au kumuelekeza MTU kufanya jambo baya. Lakini pia inawezekana tunatofautiana kwenye kujua ni jambo lipi baya.Hata hujaelewa nilichoandika.
Ndiyo maana inakuwa tabu hapa.
Nikichokuambia si kwamba ufikirie baya ambalo unaweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini.
Nimekwambia baya lolote utakaloweza kulifikiria, unaweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini.
Ushaelewa?
Yawezekana ikawa kweli endapo utanionesha ni wapi niliposhindwa kuelewa ila vinginevyo yawezakuwa ni muendelezo wa tatizo lako la kusingizia watu mambo.Wewe una tatizo la kusoma na kushindwa kuelewa ulichokisoma.
Hakuna baya lolote unaloweza kulifikiria ambalo mtu hwezi kutumia kitabu cha dini kulifanya.
Unatambua kwamba kuna lolote baya katika ulimwengu huu?Nitajie wewe hilo baya japo moja ambalo mtu anaweza kutumia kitabu cha kufanya baya hilo.
Hujaondoa contradiction hiyo.Sijajibu kvp?
Nithibitishe mara ngapi?We unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?
Hujaelewa hata tofauti ya "baya lolote unaloweza kulifikiria" na "baya lolote unaloweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini"Mi sijui baya lolote ambalo unaweza kulifanya kwa kutumia kitabu cha dini.