Atheism: Imani nusu na robo

Atheism: Imani nusu na robo

Kama hakuna Mungu inakuwaje kila binadamu duniani ana thumb print tofauti na watu wengine zaidi ya bilioni mbili walio duniani?
Hilo lina ajabu gani? Mbona kila binaadamu ana ubongo wake, hilo hushangai?
 
Kama hakuna Mungu inakuwaje kila binadamu duniani ana thumb print tofauti na watu wengine zaidi ya bilioni mbili walio duniani?

Mkuu, usidanganywe na movies za Sci-fi kuwa fingerprints hazifanani. Tafiti zinasema Fingerprints zinaweza kufanana lakini zinatumika kwenye forensic kwa sababu its rare kukuta watu wanafanana fingerprint. Labda wawe wametoka uzao mmoja katika familia moja. Hakuna ukweli kuwa kila mwanadamu ana fingerprints zake kiupekee. Ila kutokana na probability ya kufanana kuwa ndogo ndio tunaweza kutumia katika alama kusaidia upelelezi.

DNA ndio very unique na kuna sababu kwanini ni unique. Mfano wewe kabla ya kuzaliwa. Mbegu za wazazi wako kila mmoja zinachukua 50% ya kila mmoja na zinafanyiwa randomly shuffling kisha zinaunganika kutengeneza DNA ya mtoto hivyo kuna probability ndogo ufanane na kaka yako au ndugu zako 100%.

Why your fingerprints may not be unique
 
Naomba kujua jina la kitabu
I just finished "Sapiens: A Brief History of Humankind" and just started "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow" vyote vya Yuval Noah Harari.

Very illuminating books.

Sasa unamaliza kusoma vitu kama hivyo halafu unakuja kubishana na mtu ambaye hajasoma zaidi ya Biblia au Quran, halafu hata hivyo vitabu vyenyewe vya dini havielewi.
 
I just finished "Sapiens: A Brief History of Humankind" and just started "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow" vyote vya Yuval Noah Harari.

Very illuminating books.

Sasa unamaliza kusoma vitu kama hivyo halafu unakuja kubishana na mtu ambaye hajasoma zaidi ya Biblia au Quran, halafu hata hivyo vitabu vyenyewe vya dini havielewi.
Asante ntavitafuta vyote.

Bado hawajaweza kutoka kwenye vifungo ndio maana wanadhani wakipitia pitia na kukariri verses chache toka kwenye vitabu vya imani zao basi wanakuwa wamemaliza kila kitu.
 
Ni ipi hiyo?
Aliye uliza hakuniambia ni ipi

Ila kuna dini ukihama wanakuuaa, mara unatajiwa majina ya ajabu ajabu yaan full vituko, unapandikizwa uoga badala ya facts.
Dini yoyote iliyo huru watu wake wengi wana uwezo wa ku i question bila woga
 
Aliye uliza hakuniambia ni ipi

Ila kuna dini ukihama wanakuuaa, mara unatajiwa majina ya ajabu ajabu yaan full vituko, unapandikizwa uoga badala ya facts.
Dini yoyote iliyo huru watu wake wengi wana uwezo wa ku i question bila woga
Mbona mie sijawahi kusikia hapa tukio la mtu aliyeuliwa kwa kuacha dini.
 
Mbona sijaona? Mfano nimeona watu maarufu wakibadili dini ila sijaona wakiuliwa.
Sio lazima wa uawe
Kuna wengine wana poteza hata haki zao za urithi mkuu
Kina dini ni za kikatili we acha tu kaka
 
Yawezekana hapa Tanzania hazipo dini za aina hiyo.
Zipo na walio nyimwa urithi nawafahamu.
Sasa mtu akiwa huko anajiona eti ndio wako vizuri kumbe wana tishana toka mtu akiwa mtoto ni kumtisha tuu.
 
Ni ipi hiyo?

Aliye uliza hakuniambia ni ipi

Ila kuna dini ukihama wanakuuaa, mara unatajiwa majina ya ajabu ajabu yaan full vituko, unapandikizwa uoga badala ya facts.
Dini yoyote iliyo huru watu wake wengi wana uwezo wa ku i question bila woga

Mbona mie sijawahi kusikia hapa tukio la mtu aliyeuliwa kwa kuacha dini.

Mi nimewahi asee

Mbona sijaona? Mfano nimeona watu maarufu wakibadili dini ila sijaona wakiuliwa.

Sio lazima wa uawe
Kuna wengine wana poteza hata haki zao za urithi mkuu
Kina dini ni za kikatili we acha tu kaka

Yawezekana hapa Tanzania hazipo dini za aina hiyo.

Zipo na walio nyimwa urithi nawafahamu.
Sasa mtu akiwa huko anajiona eti ndio wako vizuri kumbe wana tishana toka mtu akiwa mtoto ni kumtisha tuu.
 
P1050975.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom