Atatamani awe wako

Shee hebu amka.
 
Utaongea mpaka utachoka tu wewe mzee

Kama hupendwi utaangalia kwa macho ya nafsi yeye anaona imemkosea heshima kwa kumwangalia usoni kwa muda mrefu..

Kama hupendwi jichenge tu.

Maisha sio mapenzi tu, tafuta wanyama ufuge, walishe wanone, na utapata unconditional love
 
Naona kama ni nadharia tu Mshana, uteke moyo wa mtu, how? Love is very complex especially kwa kipindi tulichopo, watu wapo mguu nje ndani, ni mwendo wa kuvuziana tu!!
Wapendao wapo na wapendwao pia wapo ila kwa uchache🤔🙇🏿‍♂😪
 
Unajua nini mkuu, everything is affordable saivi, mahusiano yapo so cheap! Ni rahisi kuingia, ni rahisi kutoka, hakuna cha kupoteza, unaanzaje kumpa mtu moyo wako, unataka kuumizwa?
Basi nadhani wakati umeniacha😭 Bado naamini true love ipo Ila uwe smart upstairs na mfukoni kunenepeane😂
 
Basi nadhani wakati umeniache😭 Bado naamini true love ipo Ila uwe smart upstairs na mfukoni kunenepeane😂
Ukishasema mfukoni kunenepeane😅😅neno triue love liondoe. Love doesn't ask why!

Sema wakati unetuacha, japo binafsi siamini sana kwenye true love, haipo..ni nadharia tu. Love is very conditional!
 
Ukishasema mfukoni kunenepeane😅😅neno triue love liondoe. Love doesn't ask why!

Sema wakati unetuacha, japo binafsi siamini sana kwenye true love, haipo..ni nadharia tu. Love is very conditional!
Hata mke wako huna true love nae we mzee😀😀 kasheshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…